Skip to main content

Posts

Showing posts from December 19, 2016

KAIMU KATIBU MKUU UVCCM TAIFA SHAKA AFANYA ZIARA WILAYANI NGARA

Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC)akizungumza na  ajumbe wa Baraza la UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet ya CCM Wilayani  Ngara Katika Kikao Cha Ndani Kilicho Fanyika katika Ukumbi wa Engubenako  Wilayani Ngara. Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akiwasili katika  Kijiji Cha BENACO Wilayani Ngara, Shaka yupo kwa ziara ya kuimarisha uhai  wa chama, kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya  CCM 2015-2020 Mwenyekiti wa uvccm Mkoa wa Kagera Bw. Yahya Kateme akizungumza  kumkaribisha Ndg: Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka  Kuzungumza na Wajumbe wa Baraza la UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet  ya CCM Wilayani Ngara Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC)akizungumza na  Wajumbe wa Baraza la UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet ya CCM Wilayani  Ngara Katika Kikao Cha Ndani Kilicho Fanyika katika Ukumbi w...

MTOTO AWAKIMBIA WAZAZI WAKEKUKWEPA KUKEKETWA

Kamanda wa Polisi Ilala, Salum Hamdun  Na Dotto Mwaibale MTOTO mwenye umri wa miaka 12 ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Kivule Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam jina lake linahifadhiwa ameelezea jinsi alivyofanikiwa kuwatoroka wazazi wake ili asikeketwe. Mtoto huyo hivi sasa analelewa na msamaria mwema baada kufungua kesi Kituo cha Polisi cha Stakishari Ukonga kufuatia kufikishwa kituoni hapo kwa ajili ya kujisalimisha na kuelezea madhila aliyotaka kufanyiwa. Wakati mtoto huyo akijisalimisha katika kituo hicho kuna taarifa za ndani kuwa kuna mpango wa kuwakeketa watoto 85 wenye umri kuanzia miaka 12 hadi 15 katika manispaa hiyo ambapo watoto zaidi ya 30 wanadaiwa kukeketwa. Akizungumza na mtandao wa www.habari za jamii.com mtoto huyo alisema hawezi kurudi tena nyumbani kwao kwa kuhofia kupigwa na kukeketwa ambapo ameomba msaada wa hifadhi kutoka kwa watanzania. "Baada ya baba yangu kufariki nyumbani kwetu Tari...

RC MASENZA TELLS OFF RAPE AND SODOMY CULPRITS

By Friday Simbaya, Iringa Iringa Regional Commissioner (RC), Amina Masenza has told off rape and sodomy persistently arises in society and warned that such acts should not happen again in 2017.  Masenza made the statement on Monday while speaking to journalists at her office, where she also used the opportunity to wish the citizens of Iringa region blessed Christmas and New Year in 2017.  RC has also directed the security organs to work and identify the perpetrators and bring them to the course of justice.  She also asked the citizens of Iringa Region to protect children against rape to young children.  "It is our duty to ensure we are all completely eradicating all actions that contributes to breach of peace in our region of Iringa and the country in general," Masenza said.  In addition, she asked the citizens of Iringa Region to ensure they maintain peace and unity to the region continue to have peace and calm.  "...

RC MASENZA: VITENDO VYA UBAKAJI VISITOKEE TENA 2017

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amani Juma Masenza akiongea na wananchi wa Mkoa wa Iringa kupitia vyombo vya habari kwa kuwatakia heri katika sherehe za Noeli na Mwaka Mpya 2017 leo ofisini kwake. (Picha na Friday Simbaya) IRINGA: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza amekemea vitendo vya ubakaji na ulawiti vinavyoendelea kujitokeza katika jamii na kuonya kwamba vitendo hivyo visitokee tena mwaka 2017.  Mkuu mkoa huyo alisema hayo leo (Jumatatu) wakati akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake, ambapo alitumia pia fursa ya kuwatakia wananchi wa Mkoa wa Iringa heri katika Noeli na Mwaka Mpya 2017. Masenza ameviagiza vyombo vya dola vifanye kazi ya kuwabaini wahusika na kuwafikisha kwenye mkondo wa sheria. Pia, mkuu huyo aliwaomba wananchi wa Mkoa wa Iringa kuwalinda watoto dhidi ya vitendo vya ubakaji kwa watoto wadogo. “Ni wajibu wetu sote kuhakikisha tunatokomeza kabisa vitendo vyote vinavyopelekea uvunjifu wa amani katika mkoa ...

KIKAO CHA TATHMINI YA MAONESHO YA UTALII KARIBU KUSINI KINAENDELEA...

Mjumbe na Mmliki wa Hilltop Lodge iliyopo karibu na Hifadhi ya Wanyampori Ruaha (RNP), Alban Lutambi akichangia mada wakati wa Kikao cha Tathmini Ya Maadhimisho Ya Kitaifa Ya Siku Ya Utalii Duniani Pamoja Na Maadhimisho Ya Utalii Karibu Kusini kulichofanyika mjini Iringa Leo. (Picha Na Friday Simbaya) Wajumbe wakifuatilia kikao cha tathmini ya maonesho ya utalii karibu kusini kinachofanyika ukumbi wa Siasa ni Kilimo mjini Iringa.

Researchers, Scientists and Developers Urged To Invest In Climate Data

WWF Tanzania’s Country Director Dr. Amani Ngusaru  is making a speech on Friday last week during the WWF - Ruaha Water Program-SWAUM exit workshop held in Njombe Region. (PHOTO: FRIDAY SIMBAYA)   Njombe :  WWF Tanzania’s Country Director Dr. Amani Ngusaru is calling on  researchers, scientists and developers  to create data-driven simulations to help plan for the future and to educate the public about the vulnerability of climate change, hence help farmers to plan for their future. Dr. Ngusaru made the disclosure on Friday last week during the WWF - Ruaha Water Program-SWAUM exit workshop held in Njombe Region. He said that this effort will help give communities across the country the information and tools they need to plan for current and future climate impacts. He said that farmers need to have right information about weather and climate so that they can know when to plant their fields because at the moment farmers in the...

RC IRINGA AWATAKIA WANANCHI HERI YA NOELI NA MWAKA MPYA 2017

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amani Juma Masenza akiongea na wananchi wa Mkoa wa Iringa kupitia vyombo vya habari kwa kuwatakia heri katika sherehe za Noeli na Mwaka Mpya 2017 leo ofisini kwake. (Picha na Friday Simbaya)