Skip to main content

Posts

Showing posts from June 7, 2016

HIFADHI YA TAIFA YA RUAHA KINARA KWA UJANGILI WA TEMBO NCHINI

Mwalimu wa Uchumi na Utalii Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM),  Profesa Wineaster Anderson (kulia), akitoa mada kuhusu uchumi na Utalii katika mkutano wa mwaka wa Hifadhi za Taifa Tanzania na wanahabari waandamizi kutoka vyombo mbalimbali mjini Morogoro leo. Mkurugenzi wa Utalii na Masoko wa Hifadhi ya Taifa (TANAPA), Ibrahim Mussa (kulia), akitoa mada katika mkutano huo. Mwenyekiti wa Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI), Dk. Felician Kilahama (kulia), akitoa mada kuhusu misitu katika mkutano huo. Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa (TANAPA), Dk.Allan Kijazi, akizungumza jana katika mkutano huo. Wanahabari Khadija Khalili (kushoto) na Beatrice wakiwa kwenye mkutano huo. Wahariri, Bakari Kimwaga (kushoto) na Anicetus Mwesa wakifuatilia mkutano huo. Mwanahabari Lazaro kulia akijiandikisha katika kitabu cha mahudhurio Wanahabari na wahariri wakiwa kwenye mkutano huo. Mwenyekiti wa Chama cha wamiliki wa Blogu Tanzania (TBN), Joa...

WAFUGAJI WADOGO WALIA NA BEI NDOGO YA MAZIWA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Ushirika (WKMU) sehemu ya mifugo, Dkt. Maria Mashingo (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa mfugaji wa mdogo wa ng'ombe wa maziwa mjini Njombe Paul Kasunga alipotembelea banda hilo maonesho wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya unywaji wa maziwa yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe wiki iliyopita. (Picha na Friday Simbaya)  Ng'ombe wa maziwa aina ya Ayshire ambaye ana umri miaka mitano anauwezo wakutoa lita 22 ya maziwa kwa siku.  Small milk producer Wema Gilbert Ngimbuchi (blind) of Ikuna Village Ikuna in Ward, Njombe district sings before the Permanent Secretary in the Ministry of Agriculture, livestock and Cooperatives (livestock section) Dr. Mary Mashingo (left) as a sign of thankfulness after she was handed over a registration certificate as a milk producer supplied by Tanzania Dairy Board (TDB) during the peak week of drinking milk made nationally in Njombe region last week. The St...

UN yawapiga msasa wanafunzi wa UDOM kuhusu Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs)

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akiendesha semina fupi kuhusu Malengo 17 mapya ya Maendeleo Endelevu (SDGs) kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) (hawapo pichani) inayoendelea mjini Dodoma chuoni hapa. Katika kuhakikisha kila Mtanzania anapata elimu kuhusu Malengo 17 ya Maendeleo Endelevu (SDGs) ambayo yanatakiwa kumfikia mtu mmoja mmoja, ofisi ya Umoja wa Mataifa nchini (UN) imetoa mafunzo kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), mafunzo ambayo yataweza kuwajengea uwezo kuhusu mpango huo na jinsi unavyoweza kubadili maisha yao. Akizungumza na MO blog kuhusu mafunzo hayo, Mtaalamu wa Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) nchini, Bi. Hoyce Temu alisema kuwa mafunzo hayo kwa wanafunzi wa UDOM ni sehemu wa mafunzo ambayo yanatolewa na ofisi ya UN nchini ili kuwawezesha Watanzania kuufahamu mpango huo ambao una malengo ya kubadili maisha ya kila mwananch...