Skip to main content

Posts

Showing posts from June 12, 2015

MAHAMOD MGIMWA ANOGESHA ZAWADI ZA MSHINDI WA KOMBE LA MUUNGANO

naibu waziri wa maliasili na utalii mahamod mgimwa ambye pia mbunge wa jimbo la mufindi kasikazini. hapa mabingwa wa kombe hilo wakishangia ushindi pamoja na mgeni rasmi pamoja na viongozi mbalimbali. mratibu wa mashindano hayo aliyetangaza kustahafu kuratibu mashindano hayo.  na fredy mgunda,iringa akizungumza wakati wa kufunga mashindano ya kombe la muungano mratibu wa kombe hilo DAUDI YASSIN alimpongeza mbunge wa mufindi wa jimbo la mufindi kasikazini ambaye pia ni naibu waziri wa maliasili na utalii MAHAMOD MGIMWA kwa kisaidia kutoa zawadi.

UN YATAKA KUWEZESHWA ZAIDI KWA SERIKALI ZA MITAA

Balozi wa Spain nchini, Mh. Luis Cuesta Civis (kushoto) na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) wakikagua mitaala ya kufundishia kwenye ofisi za walimu katika shule ya msingi Yombo ambayo imejengwa na mradi wa awamu ya pili wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) iliyopo katika kijiji cha Chasimba, wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani, wakati wa kukagua miradi inayofadhiliwa na TASAF wilayani humo huku Afisa Program Kitengo cha Uahulishaji Fedha (TASAF), Edith Mackenzie (wa pili kulia) akitoa maelezo kwa ugeni huo.(Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog ). Na Mwandishi Wetu, Bagamoyo MRATIBU Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Tanzania Alvaro Rodriguez ametaka serikali za tawala za mikoa na serikali za mitaa kuwezeshwa zaidi ili kuweza kuwatumikia wananchi. Aliyasema hayo wakati a...

MEMBE: TUMCHAGUE RAIS MWENEYE HEKIMA NA BUSARA

WAGOMBEA urais waendelea kumiminika mkoani Iringa kusaka wadhamini wakutia saini fomu za udhamini kwa ajili ya kuteuliwa uwania urais katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amepata wadhamini 380 mkoani Iringa katika harakati zake za kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu.