Skip to main content

Posts

Showing posts from October 10, 2013

RPC RUVUMA AZINDUWA KIKOSI KAZI (TASK FORCE) YA POLISI JAMII NGAZI YA TARAFA

RPC Mkoa wa Ruvuma ACP Deosdeusdit Nsimike (wa nne kutoka kushoto) akiwasili katika viwanja vya Polisi Peramiho wilayani Songea, Mkoa wa Ruvua jana kwa ajili ya uzinduzi wa taskforce ulinzi shirikishi katika tarafa ya Ruvuma, ambapo ameahidi kupeleka askari 15 kila tarafa  mkoa wa Ruvuma ili kuimarisha usalama katika mkoa. RPC Mkoa wa Ruvuma ACP Deosdeusdit Nsimike akisaini kitabu cha wageni