Skip to main content

Posts

Showing posts from March 10, 2017

MWENYEKITI WA CCM, RAIS DK MAGUFULI AENDESHA KIKAO CHA USALAMA NA MAADILI

Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein, alipowasili kuendesha kikao cha Usalama na Maadili, kilichofanyika leo Chamwino, Dodoma. Katikati ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan.  Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein, alipowasili kuendesha kikao cha Usalama na Maadili, kilichofanyika leo Chamwino, Dodoma.  Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akizungumzana Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein, alipowasili kuendesha kikao cha Usalama na Maadili, kilichofanyika leo Chamwino, Dodoma. Kulia ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na kushoto ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi.  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akitoa maelezo ya ufunguzi wa kikao hicho  Dk. Magufuli akiendesha kikao hicho  D...

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI