Skip to main content

Posts

Showing posts from July 11, 2015

DR SLAA ATEULIWA KUIPEPERUSHA BENDERA YA UKAWA KTK NAFASI YA URAIS

Baada ya jina la katibu  Mkuu wa Chadema Dk  Wilbroad Slaa likiwa  limeteuliwa na UKAWA  kuwa mgombea wake wa  nafasi ya Urais katika  uchaguzi mkuu  utakaofanyika Oktoba. Dakika chache zilizopita  kwenye ukurasa wa  @twitter wa Dr Slaa kathibitisha kuteuliwa na  UKAWA. "Nashukuru UKAWA kwa  imani kubwa. Kazi ya  mabadiliko iliyoanza 1992  kwa vyama vingi  imebakiza miezi michache  kushinda. Kura yako ni  ukombozi"  @willibrordslaa —

NIGERIAN TONY ELUMELU ENTREPRENEURSHIP PROGRAMME (TEEP) TO TRANSFORM TANZANIA EMERGING ENTREPRENEURS

The Managing Director of UBA Tanzania Mr. Demola Ogunfeyimi addresses the Tony Elumelu Foundation Entrepreneurship Programme (TEEP) Entrepreneurs heading for the training in Ota Nigeria from Tanzania during the send off dinner in Dar es Salaam organized by United Bank for Africa Tanzania. The Managing Director of UBA Tanzania Mr. Demola Ogunfeyimi addresses the Tony Elumelu Foundation Entrepreneurship Programme (TEEP) Entrepreneurs heading for the training in Ota Nigeria from Tanzania during the send off dinner in Dar es Salaam organized by United Bank for Africa Tanzania. Head Marketing & Corporate Communications UBA Tanzania M/s. Josephine Lukoma addresses the Tony Elumelu Foundation Entrepreneurship Programme selected emerging entrepreneurs and media not in picture during the send off dinner in Dar es Salaam organized by United Bank for Africa Tanzania. UBA Tanzania Staff having a light moment with their Managing Director Mr. Demola Ogunfeyimi dur...

MAGAZETI LEO JUMAMOSI

. . . . . . . . . . . . .

MGOMBEA WA URAIS KUPITIA CCM KUJULIKANA LEO MJINI DODOMA

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti mjini Dodoma. "Leo tarehe 7 mwezi wa saba tunaanza vikao vya mchakato wa mkutano mkuu wa taifa wa CCM ambao unnategemewa pamoja na mambo mengine utapitisha ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015-20 20 lakini pia utateua mgombea wa urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kupitia CCM, na pia kutakuwa na kikao cha halmashauri kuu ambacho kitateua jina la mgombea wa urais kwa chama cha mapinduzi kwa upande wa Zanzibar, ratiba ya vikao, leo tarehe 7 kuanzia saa tano tutakuwa na sekretarieti ya halmashauri kuu ya Taifa ya chama cha mapinduzi ambacho kitaongozwa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana, sekretarieti hiyo ina ajenda moja kubwa kwa kupitia maandalizi ya mkutano mkuu, ina ajenda kubwa ya kupitia maandalizi ya mkutano mkuu na kuthibitisha yapo mambo mengi katika maandalizi kuna mambo ya ratiba, mambo ya malazi ya wajumbe, kuna mambo ya makablasha ...