Skip to main content

Posts

Showing posts from May 28, 2016

NEAR TO THE ELECTRICITY PROJECT BUT FAR AWAY FROM POWER

WWF representative Ebrania  mbweleli village executive officer (VEO) Christina Mathaya Mbweleli village chairperson makes a point during the village assembly to pass VLUP proposal Mbweleli village land use management committees (VLUMC) member, Ally Magomba  during the village assembly, Mkutano mkuu  wa kijiji cha Mbweleli unaendeleo(Village Assembly in progress) Add caption Mkazi mmoja wa Kijiji cha Migoli Kata Migoli tarafa ya Ismani, Wilaya ya Iringa mkoani Iringa ambaye hakufahamika jina lake mara moja akitoka kuchota maji katika Bwawa la Mtera kwenye mapipa kwa kutumia punda jana. Mkazi huyo hufanya biashara ya kuuza maji ambapo pipa moja la maji anauza kwa shilingi elfu 2,000 kwa wananchi wanaofanya shughuli ya kufyatua matofali  na matumizi ya nyumbani kando kando ya bwawa bila kuzingatia uharibifu wa mazingira. (Picha na Friday Simbaya) One resident of the Migoli village of Migoli Ward, Div...