Mkuu wa Mkoa wa Iringa Amina Masenza (watatu kushoto) akishangaa gari la Benki la NMB lenye ATM ikiwa na Benki ndani yake huku Huduma za kibenki zikiendelea katika stendi ya mabasi yaendao mikoani mjini IRINGA baada ya kuzindua tawi jipya la NMB Ruaha Ijumaa wiki iliyopita. (Picha na Friday Simbaya) IRINGA: Wakulima mkoani Iringa wametakiwa kuzitumia taasisi za kifedha mkoani humo kwa kuchukua mikopo nafuu ili kulima kilimo chenye tija na kukuza uchumi wao badala ya kulima kilimo cha mazoea hali inayopelekea kushuka kwa uchumi wao. Imeelezwa kuwa moja ya sababu inayochangia wakulima wengi kushindwa kulima kilimo cha kitaalamu ni ukosefu wa mitaji hali inayopelekea kuendelea kulima kilimo kwa mazoea Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa mkoa wa iringa amina masenza hivi karibuni wakati akazindua tawi jipya la bank ya NMB Ruaha ambalo linatajwa kupunguza msongamano wa wateja huku akiwataka wananchi kuendelea kuzitumia taasisi hizo kwa kukuz...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.