Skip to main content

Posts

Showing posts from July 8, 2011

MSIMU WA MAVUNO HUU HAPA

Msimu wa mavuno umewadia tena. Hawa ni wakazi wa  Mtaa wa Yerusalemu Peramiho, Wilaya ya Songea, Mkoani Ruvuma wakisaidiana kupukuchua mahindi baada ya mavuno kwa kutumia mashine ndogo inayosukumwa kwa nguvu ya genareta. Mashine hiyo ya kupukuchulia hukodishwa na wafanyabiashara kwa wakulima wadogo wadogo katika kipindi hiki cha mavuno. Mkoa wa Ruvuma ni maarufu sana kwa Kilimo cha mahindi. Hogereni sana kwa mavuno!