Skip to main content

Posts

Showing posts from April 22, 2017

KAMATI MALALUM YA TFF KUSIMAMIA UCHAGUZI WA LIPULI FC YA MJINI IRINGA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeunda kamati maalum kwa ajili ya kusimamia uchaguzi wakupata viongozi wapya wa klabu ya mpira ya Lipuli ya mjini Iringa inayoongozwa na mjumbe wa kamati ya uchaguzi TFF Hamimu Mahmud Omary (mwenye kaunda suti) (Picha na Friday Simbaya). Katibu mpya wa CCM mkoa wa Iringa, Christopher Magala akizungumza na waandishi wa habari mkoani Iringa jana kuhusu  kuutunza na kuulinda uwanja Samora . (Picha n a Friday Simbaya) Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeunda kamati maalum kwa ajili ya kusimamia uchaguzi wakupata viongozi wapya wa klabu ya mpira ya Lipuli ya mjini Iringa, imeelezwa. Hatua hiyo imekuja baada yakuwepo mgogoro usiokwisha ndani ya klabu hiyo, na kupelekea TFF kufuatilia kwa kina mgogoro wa kiuongozi ndani ya klabu ya Lipuli FC ya Iringa. Baada ya uchunguzi wake,TFF imetoa maagizo manne yafanyike mara moja. 1. Klabu ya Lipuli ifanye uchaguzi mkuu wa kupata viongozi wake. 2. Kamati y...