LUDEWA
SERIKALI imetenga
zaidi ya shilingi bilion 6 kwa ajili ya kuboresha usafiri wa Meli katika maziwa
matatu nchini likiwemo Ziwa Victoria, Ziwa Tanganyika na Ziwa Nyasa ambalo ni
ziwa pekee lenye kero na changamoto kwa wananchi wa Ludewa, Songea na Mbeya.
Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi Dkt Athumani Mfutakamba alipotembelea Kata ya Masasi
na Manda Wilayani Ludewa kujionea mwenyewe eneo kitakapojengwa kiwanja cha
ndege katika kijiji cha Sagalu kama njia ya kuvutia wawekezaji kufika na
kuwekeza Wilayani humo.
Dkt Mfutakamba
alisema kuwa ujenzi wa uwanja wa ndege Sagalu Wilayani Ludewa utasaidia kwa
kiasi kikubwa kukuza uchumi na kufungua milango ya kimaendeleo zaidi wilayani
humo kutokana na kuwa na utajiri wa madini ya chuma na makaa ya mawe na
dhahabu.
Hata hivyo waziri
huyo aliahidi kuwa ujenzi wa uwanja huo muhimu ...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.