Skip to main content

Posts

Showing posts from January 25, 2016

Mtandao wa Tigo 4G LTE kupanuka hadi Moshi

Meneja Mawasiliano wa Tigo, John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu uzinduzi wa 4G mjini moshi pia udhamini wa Tigo katika mbio za Kili NusuMarathon ambapo mbio hizo zitafanyika Februari 28, Wilayani Moshi na zitahusisha wanariadha wa ndani na nje ya nchi kutoka pande mbalimbali za dunia.Uzinduzi huo ulifanyika Kibo Palace Homes. Kampuni ya simu za mkononi ya Tigo ambayo inaongoza kwa kuendesha maisha ya kidijitali imetangaza mpango wake wakupanua huduma ya intaneti ya 4G hadi Moshi ifikapo Februari mwakahuu. Huduma hiyo ilizinduliwa kwanza  jijiniDar es Salaam mwanzoni mwa mwaka jana na baadaye ilisambazwa kwenye mikoa ya Arusha, Tanga, Dodoma na Morogoro, kwa ufanisi na hivyo kuufanya mtandao wa 4G kuwa mpana na wakasi nchini Tanzania. Ikichukuliwa kama teknolojia nzuri ya hivi karibuni kwenye sekta Ya mawasiliano duniani isiyo na dosari katika kuifikia huduma ya intaneti, teknolojiaya 4G LTE inakasi takribani maratan ikilinganishwa na t...

Northern cities head list of UK's low-wage, high-welfare economies

Centre for Cities urges the government to address the geographical divide by continuing to increase investment in regional economies Industrial buildings in Doncaster, which is in the top 10 of low-wage, high-welfare cities. Photograph: Gabriel Szabo/Guzelian Almost half of the UK’s biggest cities have low-wage, high-welfare economies, according to a healthcheck on urban Britain that underscores the challenges for the government’s benefit-cutting agenda. George Osborne used his first budget of the Conservative government last summer to advocate a “higher wage, lower tax, lower welfare country” . But a report published on Monday warns that his vision will take several parliaments to create, given current shortfalls in education, a housing crisis and inefficient jobs programmes. The Centre for Cities study also highlights a stark north-south divide between conurbations and urges the chancellor to deliver on promises to rebalance Britain’s economy with projects like the “ northe...

SHINDANO LENYE FURSA YA KUKUZA MITAJI KWA VIJANA LA MO MJASIRIAMALI LAZINDULIWA

Mwenyekiti wa Taasisi wa MO Dewji , Mohammed Dewji Mwenyekiti wa Taasisi wa MO Dewji , Mohammed Dewji kwa kushirikiana na kampuni ya Darecha Limited leo (jumatatu) wamezindua shindano la Mo Mjasiriamali lenye lengo la kusaidia kukuza ujasiriamali miongoni mwa vijana. Shindano ya Mo Mjasiriamali litatoa fursa ya ukuzaji wa mitaji, ulezi wa wajasiriamali na mitandao ya biashara kuongeza mwanga, ujasiri na kuzalisha wajasiriamali Tanzania. “Mimi kama Mjasiriamali kijana na mzaliwa wa Singida vijijini, sikufikiria hata mara moja kama leo ningekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa moja ya makampuni yaliyofanikiwa sana katika nchi yetu na hata barani Afrika.” Inasema taarifa Mkurugenzi Mtendaji huyo wa MeTL kwa vyombo vya habari mwishoni mwa wiki. Aidha alisema Afrika ni moja ya bara linalokua kwa haraka na lenye ukuaji imara wa uchumi na amini vijana wa Tanzania wana nafasi kubwa ya kutumia fursa hizo ili kujiletea uchumi endelevu. Lakini pamoja na ukweli huo changamoto kama za ukosefu wa mitaj...

JK AULA KIMATAIFA, ACHAGULIWA KWENYE JOPO LA WENYEVITI WA USHAURI NGAZI YA JUU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO DUNIANI

Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete. TAARIFA KWA UMMA YA KUMPONGEZA MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE JANUARI, 2016-3.doc