MAHABUSU 87
kutoka Ethiopia wanaoshikiliwa na Idara ya Uhamiaji katika Gereza la Ibihi
lililoko nje kidogo ya mji wa Ludewa wamegoma tena kula siku ya nne sasa huku
wengine watatu wakitundikiwa madripu ya maji na chakula katika Hospitari ya
Wilaya ya Ludewa.
Mkuu wa Gereza
hilo Mrakibu wa Magereza (ASP), Babilas Masimo kwa upande wake alikiri kutokea
kwa mgomo huo kwa mara ya tatu tena, lakini hakuwa tayari kuzungumzia suala
hilo kwa kusema kuwa yeye alikwisha kuwajulisha wanaohusika na maamuzi.
Mganga Mkuu wa
Hospitari ya Wilaya ya Ludewa, Dkt. Happines Ndosi alikiri kuwapokea mahabusu
watatu wakiwa wamedhoofu kwa njaa ambapo miongoni mwao mmoja alikutwa na Malaria
ingawa siyo ugonjwa uliomfikisha hospitalini hapo.
Dkt. Ndosi
amelalamikia kitendo cha kuendelea kuwashikilia mahabusu hao kuwa kinawamalizia
dawa kwa sababu hawamo kwenye bajeti waliyonayo na kwamba analazimika kuchukua
dripu za akin...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.