Skip to main content

Posts

Showing posts from November 15, 2014

MWAKALEBELA AMWAGA VIFAA VYA MUZIKI OFISI YA CCM ...!

  Kamanda wa UVCCM Wilaya Iringa mjini na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa CCM, Frederick Mwakalebela (kushoto)  amekabidhi vifaa vya muziki vyenye thamani ya shilingi milioni nane (8m/-) kwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Iringa mjini Abedi Kiponza (wa pili kushoto) na Katibu wa CCM Zongo Lobo Zongo (wa pili kulia) kwa ajili ya kusaidia shughuli za chama katika masuala ya kunadi sera na ilani ya uchaguzi ya mwaka  2010. Shughuli hiyo ilikwenda sambamba na kumuaga aliyekuwa mkuu wa mkoa wa iringa Dkt. Christine Ishengoma kichama ngazi ya wilaya.   Kamanda wa UVCCM Wilaya Iringa mjini na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa CCM, Frederick Mwakalebela akiongea na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kukabidhi vifaa vya muziki vyenye thamani ya shilingi milioni nane (8m/-) kwa ofisi kuu ya CCM Wilaya ya Iringa mjini leo. Alisema kuwa ameamua kusaidia vifaa vya muziki ili viweze ksaidia kunadi sera za chama katika kata zote ya Manispaa ya Iringa na hatimay...

Magazeti Leo Jumamosi