Skip to main content

Posts

Showing posts from January 22, 2016

Nyota wa kikapu wa Malawi kuzikabili timu za Dar

Mratibu wa Sprite BBall Kitaa Karabani Karabani akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar-es- Salaam kuhusu mechi za kirafiki zitakazochezwa Jumamosi na Jumapili katika uwanja wa BBK Park na timu kutoka Malawi. Wa kwanza kulia waliokaa ni mkurugenzi wa ufundi chama cha mpira wa kikapu Malawi Obed Nyirongo, wengine ni wachezaji wa timu ya Bricks na Brave Hearts. Mkurugenzi wa ufundi chama cha mpira wa kikapu Malawi Obed Nyirongo kiongeana waandishi wa wa habari leo jijini Dar-es- Salaam kuhusu mechi za kirafiki zitakazochezwa Jumamosi na Jumapili katika uwanja wa BBK Park na timu kutoka Malawi wa Sprite BBall Kitaa. Wa kwanza kushoto waliokaa ni mratibu wa Sprite BBall Kitaa Karabani Karabani na wengine ni wachezaji wa timu ya Bricks na Brave Hearts. ************************* Miamba miwili ya mpira wa kikapu kutoka nchini Malawi imewasili jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya mfululizo wa mechi za kirafiki za kimataifa dhidi ya tim...

AUDIO mpya ya Cosmoo Mnyamwezi - Karanga (Duro rmx)

CLUB ROUGE @ HYATT IS ONLY PLACE TO BE THIS SATURDAY