Skip to main content

Posts

Showing posts from May 20, 2017

MAGAZETI LEO JUMAPILI

Iran: Hassan Rouhani set for landslide in huge victory for reformists

Hassan Rouhani has won a second term in Iran’s presidential election. Photograph: Xinhua / Barcroft Images Emma Graham-Harrison in Tehran and Saeed Kamali Dehghan Iran correspondent Iranian President Hassan Rouhani is to claim re-election with a landslide victory, in a ringing endorsement of his efforts to re-engage with the West and offer greater freedoms at home. With a huge turnout, polling stations stayed open until midnight in parts of the country, defying worries that moderates disillusioned by the weak economy or slow pace of change would not vote. Preliminary results from Iran’s interior ministry suggested Rouhani would return to power with a bigger mandate than he had after his original 2013 win, driven by a boldly reformist campaign. Iran’s interior ministry said Rouhani was ahead, with 22.8 million votes to his conservative rival Ebrahim Raisi’s 15.5 million, with almost all votes counted. The government said over 40 million people ...

KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA IRINGA KINAENDELEA

Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Alex Kimbe akifungua kikao cha baraza la madiwani cha robo ya tatu ya mwaka 2016/2017 wa halmashauri hiyo leo unaofanyika katika Ukumbi wa Manispaa ya Iringa leo. (Picha na Friday Simbaya)   Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Alex Kimbe akimkabidhi mmoja ya watumishi wa halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Musa Mwaihojo (kulia) cheti cha pongezi ya ukusanyaji wa mapato ya ndani ya halmashauri hiyo, ikiwa ni pamoja na ushuru wa mabango na leseni wakati wa kikao cha baraza la madiwani cha robo ya tatu ya mwaka 2016/2017 wa halmashauri hiyo leo unaofanyika katika Ukumbi wa Manispaa ya Iringa leo. (Picha na Friday Simbaya)

SBL YAZINDUA BIA MPYA IITWAYO SERENGETI PREMIUM LITE

Mkurugenzi wa Maendeleo ya Sanaa kutoka wizara yake, Leah Kihimbi (kulia) ambaye alimwakilisha Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Sanaa, Dk Harrison Mwakyembe aliyekuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa bia mpya aina ya Lite akitosti glasi na Mkurugenzi wa Fedha na Bodi ya SBL, Kalpesh Mehta (kushoto) na mjumbe wa bodi ya SBL, Chris Gachuma wakati wa hafla ya uzinduzi wa bia hiyo iliyofanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam jana. Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Ceaser Mloka,akizungumza katika uzinduzi huo. Crew nzima ya Kampuni ya PR ya Concept ikiwa katika uzinduzi huo. Maofisa kutoka SBL wakijadiliana jambo. Wakati wa utambulisho. Kushoto ni mbunifu wa bia hiyo. Wasanii wakitoa burudani katika uzinduzi huo. Mjumbe wa Bodi Chris Gachuma akizungumza katika uzinduzi huo. Wadau wakiwa kwenye uzinduz huo. Ni furaha tupu katika uzinduzi huo. Kulia ni Meneja Masoko wa SBL, Anitha Rwehumbiza. ...