MUSA MDEDE apata Baraka za kuwa mbunge wa jimbo la kalenga kutoka kwa vijana wa kikatoliki wa jimbo hilo
MUSA LEONARD MDEDE akitoa neno katika kongamano la vijana wa katoliki baadhi ya vijana wakimsikiza mdede katika kongamano hilo. baadhi ya viongozi wa vijana hao wakiwa makini kumsikiliza mdede mdede akiingia katika ukumbi uliokuwa unafanyika sherehe na fredy mgunda, iringa Vijana wa kikatoliki waliokuwa kwenye kongamano lililofanyika katika kijiji cha ulete wamewataka wananchi wa jimbo la kalenga kuelekeza macho na masikio yao kuhakikisha wanamchagua kijana mwenzao ambaye ameonekana kuwa na uwezo wa kuwa kiongozi bora na kuwaletea maendeleo katika jimbo hilo.