Skip to main content

Posts

Showing posts from January 21, 2016

MAGAZETI YA LEO IJUMAA

OJADACT WALAANI SHERIA YA MAGAZETI YA MWAKA 1976

Mwenyekiti wa Chama hicho Edwin Soko akizungumza na Wanahabari Jijini Mwanza. Na:George Binagi-GB Pazzo +BINAGI MEDIA GROUP Chama  cha Waandishi wa Habari Wanaopiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya na Uhalifu  Nchini OJADACT, Kimemuomba Rais Dkt.John Pombe Magufuli kutekeleza ahadi yake  ya kufanyia marekebisho sheria kandamizi kwa vyombo vya habari nchini, aliyoitoa  wakati wa Kampeni zake za Uchaguzi Mkuu uliofanyika mwaka jana. Mwenyekiti wa Chama hicho Edwin Soko, ametoa  ombi hilo hii leo mbele ya Wanahabari Jijini Mwanza, wakati akielezea hatua mbalimbali  ambazo zimekuwa zikichukuliwa na Serikali dhidi ya vyombo vya habari vinavyokiuka  sheria katika utendaji wake wa kazi. Soko alitolea mfano Sheria ya Magazeti ya mwaka  1976 kupitia sura ya 229 kifungu cha 25 (1), kinachompa Mamlaka Waziri wa Habari kulifungia gazeti lolote linalotoa habari zenye ukakasi, kuwa ni ishara  ya ukandamizaji wa uhuru wa habari ...

UBA TANZANIA TRAINS IFM STUDENTS ON CUSTOMER SERVICE MANAGEMENT

Service Quality Manager, Queen Odunga during the training session at IFM (Institute of Finance Management). Saturday, 16 January 2016 UBA trained IFM students on customer service management. Taking on the session was the Service Quality Manager, Queen Odunga, who explained how to handle a difficult customer. And after the session, the students tried to create a situation where the customer is complaining and doesn’t want to listen to the CSO. This came out so well as the one who was acting as CSO resolved the situation and the one acting as the client was happy that his problem was solved. One happy student commended the UBA Team for taking them through the session “This has been a great session that we cannot easily get from our daily lectures. We thank UBA team especially Madam Queen who has highlighted on the importance and tactics of how to handle a difficult customer”, She concluded. Queen Odunga the Service Quality Manager thanked the IFM Management for giving UBA the platform ...