Skip to main content

Posts

Showing posts from May 12, 2015

WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUEPUKA LUGHA ZA CHUKI

Meza kuu. (Picha zote na Geofrey Adroph wa Pamoja blog ). Mshehereshaji wa Semina Bi. Rose Mwalongo akiwakaribisha washiriki wote waliofika kwenye semina ya siku mbili iliyoandaliwa na shirika lisilo la kiserikali nchini la International Association of women in radio and television (AWRTT) kwa kushirikiana na Ethical Journalism Network ambapo wamewakutanisha wanahabari mbalimbali kutoka nchini Tanzania pamoja na nchi za Afrika. Bi. Rose Haji Mwalimu kutoka IAWRT Tanzania akifungua semina kwa kwa washiriki ambao walikuwa ni wanahabari (hawapo pichani) mbalimbali kutoka nchini Tanzania pamoja na nchi za Afrika wa pili kutoka kushoto ni Rais wa IAWRT Bi. Rachael Nakitare, wa pili kutoka kulia ni Bi. Elisabeth Scwabe-Hansen pamoja na Mkurugenzi wa Ethical Journalism Network (EJN).  Rais wa IAWRT Bi. Rachael Nakitare akitoa semina kwa wanahabari namna ya kusimama katika ukweli na uwazi na pia kuepuka lugha ambazo zinaweza kuleta chuk...

MAGAZETI LEO JUMANNE

TANZANIA MEDIA IN THE FRONTLINE: JOURNALISTS TARGET POLITICAL HATE IN UPCOMING ELECTION

Journalists and African media leaders from the region are meeting this week to highlight the role of media and journalism in combating hate-speech and intolerance in the upcoming election campaign. The meeting, organised by the International Association of Women in Radio and Television (IAWRT) and the Ethical Journalism Network (EJN), opens in Dar Es Salaam today (Tuesday) and comes after fresh regional conflict with recent terrorist attacks in Kenya and fears of genocidal violence in Burundi.