Pichani ni Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala,Omary Ngumilamoto akifafanua jambo na waandishi wa habari (Picha na Maktaba) NAIBU meya wa Manispaa ya Ilala,Omary Ngumilamoto amesema wataiondoa kwenye tenda Kampuni ya ujenzi wa Barabara Del-Monte katika manispaa hiyo baada ya kujiridhisha kampuni hiyo inafanya kazi chini ya kiwango ikiwemo kuchelewesha kumaliza kazi kwa wakati.Anaandika KAROLI VINSENT endelea nayo, Kauli ya Ngumilamoto inakuja ikiwa ni tayari mkuu wa mkoa wa Dare s Salaam,Paul Makonda ambaye naye aliiagiza viongozi wote wa manispaa ya mkoa huo kutoipa tenda kampuni ya Del-Monte kutokana na kujenga barabara nyingi chini ya kiwango. Ngumilamoto ambaye ni Diwani wa Kata ya Vingunguti kupitia chama cha Wananchi (CUF) ameyasema hayo leo wakati alipokuwa anafanya ziara na Kamati ya fedha ya Manispaa hiyo kwenye miradi mbali mbali iliyoanza kutekelezwa ili kujilidhisha juu ya ufanisi wake. Amesema Kampuni hiyo ilipewa tenda ya kujeng...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.