Mkuu wa Wilaya ya Mufindi (DC) Jamhuri David William ameziagiza halmashauri zote wilayani hapa kuingiza kazi zilizokasimiwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) katika mipango kazi na bajeti. Alisama kuwa kuna halmashauri hazijaingiza kabisa au zimeingiza kiasa kidogo cha kazi zilizokasimiwa na TFDA katika mipango ya kazi na bajeti. William alisema hayo jana wakati wa akifunguzua mafunzo ya wakaguzi wa halmashauri na kamati za chakula na dawa kuhusu uimarishaji wa utekelezaji wa majukumu ya TFDA yaliyokasimiwa kwa halmashauri. Jumla ya wakaguzi 35 na wajumbe 15 wa kamati za chakula na dawa katika halmashauri ya mji wa Mafinga na halmashauri ya Mufindi walipata mafunzo hayo. Alisema kwamba kutoinzingiza masula ya TFDA katika mipango ya kazi na bajeti kuna kunakwamisha juhudi za serikali katika kudhibiti ubora, usalama na ufanisi wa bidhaa za chakula, dawa, vifaa tiba na vipodozi. DC William aliziagiza pia halamashauri kutumia fursa ya kanuni m...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.