Skip to main content

Posts

Showing posts from March 17, 2015

Kenya, Nigeria zagoma kuiazima Tanzania BVR

  Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva      Dar es Salaam . Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amesema ofisi yake ilijaribu kuazima vifaa vya kielektroniki vya Biometric Voters Registration (BVR) katika nchi ya Kenya na Nigeria kwa ajili ya kuandikisha wapiga kura, lakini nchi hizo zilikataa.

RC: CITIZENS AVOID INVESTING IN ILLEGAL PYRAMID SCHEMES...!

Iringa Region Commissioner (RC), Amina Masenza has urged citizens to avoid rush into investments that will entice them to make money quickly.

RC: EPUKENI KUKIMBILIA UWEKEZAJI UPATU HARAMU...!

Mwenyekiti mtendaji wa taasisi ya maendeleo kwa viziwi Tanzania (TAMAVITA), Charles Nchimbi (kushoto mwenye kapelo) akifuatilia ushiriki wa wawashiriki wa wanasemina wa kutoka chama cha viziwi mkoani Iringa wakati meneja uhusiano kutoka mamlaka ya masoko ya mitaji (CMSA) Charles Shirima (hayupo picha) akitoa mada ya dhana ya uwekezaji katika masoko ya mitaji kwa chama cha viziwi tanzania jana. (Picha na Friday Simbaya) Washiriki kutoka chama cha viziwi mkoani Iringa  wakifuatilia semina ya mafunzo kwa umakini kuhusu dhana ya uwekezaji  katika masoko ya mitaji jana iliyoandaliwa na mamlaka ya mitaji na  dhamana (CMSA) kwa kushirikiana na taasisi ya maenedeleo kwa viziwi T anzania (TAMAVITA) hapa mkoani Iringa. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA) Meneja Uhusiano wa CMSA, Charles Shirima akitoa mada wakati wa semina ya mafunzo kwa chama cha viziwi Tanzania kuhusu dhana ya uwekezaji katika masoko ya mitaji jana iliyoandaliwa na mamlaka ya...

MAGAZETI YA LEO MARCH 17

IDD AZZAN ATOA MSAADA WA KITI CHA MAGURUDUMU KWA MLEMAVU JIMBONI KWAKE

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan akikabidhi kiti maalum cha kujisaidia pamoja na kiti cha magurudumu kwa mama huyo mlemavu. Na modewji blog team Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan (CCM) ametoa msaada wa kiti cha magurudumu kwa Rehema Nditi mkazi wa Magomeni Mwembe Chai kama msaada kutokana na taabu aliyokuwa akiipata. Idd Azzan ametoa msaada … ambapo baada ya kuona Rehema Nditi kupataa tabu ya kukosa kiti hicho. Mbunge huyo amekua akisaidia maendeleo mbalimbali ikiwemo shughuli za kijamii ndani ya jimbo lake hilo. Aidha, Mh. Iddi Azzan ametoa rai kwa Watanzania kuungana nae katika kuchangia pesa kwa ajili ya kununua Bajaji ambayo itafanya biashara ili waweze kuendesha maisha ya kila siku. “Watanzania tuungane kumchangia mama huyu kiasi chochote ilikununua bajaji kwa ajili ya kufanya biashara ili waweze kuendesha maisha yao ya kila siku kupitia kipato cha biashara hiyo ya Bajaji” alieleza Idd Azzan. Kwa upande wake, Mtangazaj...