Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) akiongea na waandishi wa habari ofisini kwake leo (Jumatatu) akizungumzia suala la kushushwa jukwaani kwenye mkutano wa hadhara katika Kata ya Mlandege mkoani Iringa kukamatwa na polisi jumapili. IRINGA: Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) pichani amesema kutendo cha polisi kushushwa jukwaani kwenye mkutano wa hadhara katika kata ya mlandege mjini Iringa jana kimemudhalilisha kama kiongozi wa kuchaguliwa na wananchi. Mchungaji Msigwa ambaye yupo nje kwa dhamana alisema hayo (jumatatu) katika mkutano na waandishi wa habari ofisin kwake nakuongeza polisi wamevunja sheria ya bunge yaani, sheria ya Parliamentary Immunity Powers and Privileges Act of 1988 kwa kuvuruga mkuatano wake. Alisema kuwa sheria hiyo inampa mamlaka ya kutimiza wajibu wake kama mbunge wakati akiongea na wananchi. Mbunge huyo alikamatwa na polisi Jumapili jioni baada ya kushushwa jukwaani kwenye mkutano wa ha...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.