Skip to main content

Posts

Showing posts from February 20, 2016

DKT.KIGWANGALLA AFANYA KIKAO CHA PILI NA KIKOSI KAZI CHA KUBORESHA HUDUMA ZA MFUKO WA AFYA YA JAMII

Baadhi ya wajumbe wa kikosi kazi hicho wakiendelea na majumu yao. Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla amekutana kwa mara ya pili na kikosi kazi cha watu 24 ambacho kitakuwa na kazi ya kutengeneza mpango mkakati wa kuwezesha kuboresha Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Mkutano unaoendelea katika ukumbi wa Wizara hiyo ya Afya, leo Februari 20th, 2016 unachambua mambo mbalimbali ya kuweza kuyafanyia maboresho na ya kimkakati ilikuweza kufikia malengo ya Mfuko huo wa Afya ya Jamii (CHF). Katika Mkutano huo, Dkt. Kigwangalla ni mwenyekiti wa kikosi kazi hicho ambapo kwa ujumla na wajumbe hao wapo kupanga mikakati thabiti. Baadhi ya Wajumbe wa kikosi kazi hicho wanaoshiriki kikao ni pamoja na Prof. Angwara Kiwara, Prof. Phares Mujinja, Dkt. Francis Frederick, Dkt. Heri Marwa, Dkt. Deogratius Pisa, Dkt. Amos Kahwa, Irene Kiria, Semkae Kilonzo, Gemini Mtei, Dkt. Jehovaness Aikaeli na Obey Assey. Wengine ni ...

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI

SERIKALI YA KIJIJI YAKAMATA MBAO ZILIKATWA KATIKA MSITU WA GANGALAMTUMBA

NA DENIS MLOWE, IRINGA VIJIJINI SERIKALI ya kijiji cha Mfyome, kata ya Kiwele katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa vijijini mkoani Iringa imefanikiwa kukamata shehena ya mbao 298 zinazosadikiwa kukatwa kutoka kwenye msitu wa Gangalamtumba uliopo kijijini hapo na kusababisha uharibifu mkubwa wa kimazingira. Wananchi hao kwa kwa kushirikiana na Chama Cha Wanasheria Watetezi wa Mazingira kwa Vitendo (LEAT) kupitia mradi wake wa ushiriki wa wananchi katika kusimamia maliasili unaofadhiliwa na Watu wa Marekani (USAID)imefanikiwa kukamata shehena ya hizo zenye thamani ya shilingi miloni 8 baada ya kupatiwa mafunzo ya ufuatiliaji uwajibikaji katika jamii kwa wananchi. Akizungumza mara baada ya kukamatwa kwa mbao hizo katika kijiji cha Mfyome, Afisa Mawasiliano wa LEAT, Miriam Mshana alisema elimu ya uwajibikaji katika jamii ni muhimu kwa vile inasaidia kuongeza hamasa miongoni mwa wananchi wanaoishi katika maeneo yanayozungukwa na rasilimali kuweza kuzilinda. Alisema kuwa ...

MFYOME Villagers in Iringa intercepts 298 natural forest timber worth 9m/-

MFYOME Villagers at Kiwere Ward of Iringa district Council in Iringa Region has succeeded to arrest 298 timber consignment suspected to be cut from Gangalamtumba village natural forest to the existing causing environmental destruction early this month. The villagers in conjunction with the Lawyers Association advocates of Environmental Action (LEAT) through its project of citizens' participation in natural resource management funded by the American people (USAID), has succeeded to capture wood delivery with street value of nine million shillings.  Speaking yesterday during the monitoring and evaluation project activities; introduction alternative income generating activities (IGAs) at Mfyome village, LEAT Communications Officer, Miriam Mshana said education in social responsibility is important as it helps raise morale among citizens living in areas around the resources they protect. “This is due to the fruitful result of the training of citizen engagement in Gove...

Trump’s rivals are not trying to compete for his voters

Comments   Like   Reblog on Tumblr   Share   Tweet   Email Republican presidential candidate Donald Trump speaks during a campaign stop Friday, Feb. 19, 2016, in North Charleston, S.C. (Photo: Matt Rourke/AP) COLUMBIA, S.C. — Donald Trump has won over many working class Americans with his populist message, reflected in his large and consistent lead in the polls. One might expect his rivals to be targeting this large bloc of voters, but for the most part they aren’t even attempting to compete for them. Much of Trump’s support comes from men and women who feel left behind, economically and culturally. Economically, they blame trade deals and immigration for the collapse of job markets in manufacturing and industrial towns. Culturally, they feel looked down on by elites, who live vastly different lives. Trump, with both his policy positions and his attitude, has promised to restore the fortunes of these voters. He has said he would impose tari...

NAFASI MBILI ZA KAZI ZINAHITAJI WATU WA KUZIJAZA HARAKA SANA. MSHAHARA NI MNONO PIA.

WANAHITAJIKA WAFAKAZI WAWILI WA KIKE NAFASI YA MAPOKEZI KATIKA HOTEL YA "MIGRATION LODGE" ILIYOPO SERENGETI MKOANI MARA.  SIFA KUU NI KUJUA KUZUNGUMZA LUGHA YA KIINGEREZA KWA UFASAHA. MSHAHARA WAO NI MZURI HIVYO PIGA SIMU  0787 230 782 HARAKA KWA AJILI YA MAELEZO ZAIDI. MWISHO LEO.

OFISI YA MBUNGE WA VITI MAALUMU (CHADEMA) MKOANI MWANZA KUZINDULIWA RASMI HII LEO

Viongozi mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA ngazi ya Mkoa na Taifa hii leo wanatarajia kuzindua Rasmi Ofisi ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mwanza (Chadema) iliyopo Mtaa wa Ghana, Kata ya Nyamanoro Jimboni Ilemela. Uzinduzi huo utaambana na shughuli mbalimbali ikiwemo kutembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekour Toure. Pichani juu ni Secretary wa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mwanza (Chadema). Pichani ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoani Mwanza (Chadema), Susan Maseke. Kushoto ni Ofisi ya Katibu (Mwenye Miwani) wa Mbunge Viti Maalumu Mkoa wa Mwanza (Chadema) na Kulia ni Ofisi ya Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA). Jengo la Ofisi ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoani Mwanza (Chadema), Susan Maseke ambayo inatarajiwa kuzinduliwa Rasmi hii leo. Ofisi hii iko GreenView, Mtaa wa Ghana Kata ya Nyamanoro, Jimbo la Ilemela Mkoani Mwanza. Imeandaliwa na George Binagi-GB Pazzo @BMG

God, guns and dirty tricks: Republicans trade shots as Democrats divide on race

Bill and Chelsea Clinton stump in Nevada, Sanders accuses rival of pandering to black Americans, while Trump urges South Carolina to war against Apple The Clintons on stage in Las Vegas, Nevada. Photograph: Mike Nelson/EPA Maria L La Ganga in Las Vegas, Sam Levin in Reno, Paul Lewis in Henderson, Nevada; Ben Jacobs in North Charleston, Matt Sullivan , Scott Bixby and Sabrina Siddiqui in Columbia, South Carolina In Nevada, where the white population is 51% and shrinking, Democrats Hillary Clinton and Bernie Sanders bickered about race on Friday while trying to woo Hispanic and African-American voters. Two thousand miles away in South Carolina , where some of the white population cling to “Bibles and guns”, the six men vying for the Republican presidential nomination stewed over dirty tricks on the campaign trail. On the eve of the Democratic caucuses in Nevada and the Republican primary in South Carolina, Clinton and Sanders appeared to be running ne...