Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Rwezaula Kaijage akisoma hotuba iliyoandaliwa na Mawakili wa kujitegemea Kanda ya Mahakama Kuu ya Iringa katika maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini yaliofanyika kwenye viwanja vya makahama kuu ya Iringa juzi. (Picha na Friday Simbaya) Na Friday Simbaya, Iringa Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa, Mheshimiwa Jaji Shanghali amesema Kanda ya Mahakama Kuu Iringa ambayo inajumuisha mkoa wa Njombe kwa sasa wana mashauri 1,777. Alisema kuwa Kati ya mashauri hayo, wanayo mashauri 211 tu yenye umri zaidi ya miaka miwili (2) ambayo kati yake ni mashauri 123 ya Jinai (Mauaji) na mashauri 87 ya Madai. Jaji Shanghali alisema hayo jana wakati wa sherehe za sheria nchini zilizofanyika katika viwanja vya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa. Alisema kuwa katika mashauri mengine yote 1,566 yana umri chini ya miaka miwili (2). “Takwimu zinaonyesha kuwa ni asilimia nane (8%) t...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.