Skip to main content

Posts

Showing posts from April 13, 2015

COWBELL: A TASTE OF DAILY DOSE OF NUTRITION

Aisha from Stadium Primary School in Lindi, Tanzania performing an act for Hatua Jithamini TV Show. Promasidor Tanzania as part of our Corporate Social Responsibility initiative participated in a nationwide campaign called “HATUA – Jithamini”; a behavior change communication campaign that comprised of a TV show which is airing on Star TV every Saturday at 7pm and on TV1 Tanzania every Sunday at 5pm. The objective of the program is to highlight the challenges associated with nutrition and education for primary school pupils, and by doing so it will help educate pupils, parents, teachers and stakeholders about the importance of nutrition for primary school children.

MEYA JERRY SLAA AIZAWADIA PIKIPIKI TIMU GONGO LA MBOTO

Mgeni rasmi wa mpambano wa fainali kugombea pikipiki Gongo la Mboto, Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa (mwenye miwani) akikabidhi zawadi ya mshindi wa kwanza wa kombe la pikipiki lililoandaliwa na Lucas Lutanilwa. Mgeni rasmi wa mpambano wa fainali kugombea pikipiki Gongo la Mboto, Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa (mwenye miwani) akikabidhi zawadi ya mshindi wa kwanza wa kombe la pikipiki timu ya Mazombi FC lililoandaliwa na Lucas Lutanilwa. Mwakilishi wa Timu ya Vijana Jogging Club akipokea zawadi ya fedha baada ya kuibuka washindi wa tatu katika Luta CUP Gongo la Mboto. Mgeni rasmi wa mpambano wa fainali kugombea pikipiki Gongo la Mboto, Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa (wa pili kulia) akizungumza kabla ya kuanza kwa mtanange huo kati ya Timu ya Mazombi FC na Sobibo FC. Washindi wa nne wakipokea haki yao pia. Washindi wa nne wakipokea haki yao pia. Mgeni rasmi wa mpambano wa fainali kugombea pikipiki Gongo la Mboto, Meya wa Manispaa ya Ilala, Je...