Mtoto wa ajabu amezaliwa katika Hospitali ya Mtakatifu Joseph Peramiho akiwa hana ngozi ya tumboni, yaani amezaliwa na utumbo nje (congenital malfunction). Mama aliyejifungua mtoto hiyo Asumpta Magungu (17) mkazi wa Lihangano katika kijiji cha Peramiho akimuangulia mtoto wake katika wodi namba 3 jana. Picha ndogo ni Muuguzi Mkunga, Odila Kapinga amuonesha mtoto huyo mwenye jinsia ya kike aliyezaliwa na utumbo nje akiwa . (Picha na Friday Simbaya)
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.