Hatimaye katika vyama 12 vilivyochukua fomu za kugombea urais, ni vyama 8 tu ambavyo wagombea wake wamekidhi vigezo vya kugombea urais mwaka huu Tanzania. Vyama hivyo ni CCM, CHADEMA, TLD, ADC, CHAUMA, ACT- WAZALENDO, NRA na UPDP. Wagombea hao 8 na vyama vyao ni 1. John Magufuli (CCM) 2. Edward Lowassa (CHADEMA) 2. Anna Mghwira (ACT) 4. Fahmi Dovutwa (UPDP) 5. Chifu Lutalosa Yemba (ADC) 6. Janken Kasambala (NRA) 7. Hashim Rungwe (CHAUMA) 8. macmillan lyimo (TLP) Wagombea wa vyama vitatu hawajakidhi vigezo vya kugombea urais wa Tanzania, vyama hivyo ni CCK, DP , TADEA.. Chama cha AFP chenyewe hakijafika kabisa katika ofisi za NEC kuleta fomu zake.
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.