Skip to main content

Posts

Showing posts from September 15, 2025

SALIM ABRI (ASAS) AIZINDUA KAMPENI ZA CCM KILOLO, AMTANGAZA DR. RITTA KABATI

Kilolo, Iringa – Septemba 14, 2025 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa (MCC) na Mratibu wa Kampeni Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Salim Abri maarufu kama Asas, leo amezindua rasmi kampeni za Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kilolo pamoja na wagombea wa nafasi za udiwani kupitia CCM katika jimbo hilo. Mgombea Ubunge wa Kilolo, Dr. Ritta Kabati, ndiye mwanamke pekee kati ya wagombea wa majimbo saba ya ubunge mkoani Iringa kupitia CCM. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Dr. Kabati aliishukuru CCM kwa kuendelea kumuamini na kumpa jukumu la kupeperusha bendera ya chama, akisisitiza kuwa uzoefu wake wa miaka 15 kama Mbunge wa Viti Maalum umemwandaa vyema kuwatumikia wananchi wa Kilolo kwa bidii, uadilifu na upendo. Ameahidi kutekeleza kikamilifu Ilani ya CCM 2025–2030 bila upendeleo, huku akihimiza mshikamano kati ya viongozi na wananchi, kuvunja makundi ya kijamii na kisiasa, na kuharakisha maendeleo ya jimbo hilo. Aliwaomba wananchi kumpigia kura yeye, Rais Samia Suluhu Hassan na madiwani w...

'WE CARE': BRINGING DIGNITY, SERVICES AND OPPORTUNITY TO CHILDREN WITH DISABILITIES IN IRINGA

  By  Correspondent Friday Simbaya – Iringa   IN Iringa, a quiet but profound transformation is taking place for children and young people with disabilities—and for the families who care for them.   Through ‘We Care’, a three-year initiative (2022–2025) funded by the Italian Agency for Development Cooperation (AICS), three implementing partners—COPE, CALL Africa, and IBO Italia—are working to strengthen the region’s ability to provide inclusive, quality services across prevention, diagnosis, rehabilitation, education, and family livelihoods.   According to Eleonora Bolliger, a volunteer with COPE, the heart of WE CARE rests on a simple promise: no child should be left behind because services are too far away, too fragmented, or too costly for ordinary families and congenital disabilities should be prevented.   She explained that the consortium’s approach is multisectoral. It reinforces health and rehabilitation services in and around Iringa; equip...