Skip to main content

Posts

Showing posts from November 15, 2015

JUHUDI BINAFSI ZINATAKIWA KUMALIZA UKEKETAJI, UNYANYASAJI KIJINSIA – ROSE HAJI MWALIMU

Afisa Maendeleo ya Jamii (W) Ngorongoro, Teresia Irafay (wa pili kushoto) akiitambulisha meza kuu kabla ya kumkaribisha Katibu Tawala wa Wilaya ya Ngorongoro, Lemuel Kileo, (wa tatu kulia) kufungua kongamano la viongozi wa mila wa kabila la wamasai (Laigwanan/Ngaigwanani) na wanawake Mashuhuri yenye lengo la kushawishi uondoaji wa mila potofu zinazorudisha nyuma maendeleo katika jamii za wafugaji. Kushoto ni Mtaalamu wa masuala ya vyombo vya habari vya kijamii na Mkufunzi kutoka (UNESCO), Bi. Rose Haji Mwalimu, Kiongozi wa Malaiboni wilaya ya Ngorongoro Bw. Sangau Naimodu (wa pili kulia) pamoja na Katibu wa Baraza Mila (W) Ngorongoro, Laanoi Munge, (kulia), Mwenyekiti wa Baraza la Malaigwanan wilaya ya Ngorongoro, Joseph Oletiripai (wa tatu kushoto). (Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog ). Na Modewjiblog team JAMII ya wafugaji imetakiwa kutumia juhudi zao binafsi kubadilisha mawazo na imani ya jamii kwamba mila na desturi hazibadiliki ili kutengeneza mfumo bora mp...

TIGO YAUMWAGIA MILIONI 100 KUFANYIKISHA MTIKISIKO WA EBONY FM

Mkurugenzi wa Tigo wa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, Jackson Kiswaga akizungumza na waandishi wa habari jana kuhusunudhamini wa tamasha la Mtikisiko ikiwa ni sehemu ya sera ya kampuni hiyo ya kusaidia makundi mbalimbali ya jamii wakiwemo vijana na wasanii. (Picha na Friday Simbaya ) Mwenyekiti wa waandaji wa tamasha la ‘mtikisiko’, kanda za nyanda za juu kusini, Bon Zachariah ametoa wito jana kwa vijana waume kwa wake walio na vipaji vilivyojificha kujitokeza na kushiriki kwenye fursa hii ya nadra iliyoongia ukanda huu. Alisema tamasha la mtikisiko linawataka vijana kujitokeza kushiriki tukio la mwezi mmoja ambalo linahusisha mikoa ya Iringa, Ruvuma, Njombe na Mbeya ambapo uzinduzi wake utakiwa mjini Songea. “Tunatoa wito kwa vijana walio na vipaji vilivyojificha kujitokeza na kushiriki kwenye fursa hii ya nadra iliyongia kwenye ukanda huu. Inaweza kuwa ndio fursa yako ya kuwa nyota,”alisema Zachariah. Alisema kuwa lengo kuu la tamasha ambalo ya la msim...

AMKA NA MAGAZETI LEO JUMATATU NA SIMBAYABLOG