Skip to main content

Posts

Showing posts from June 5, 2017

MBUNGE CHUMI AKABIDHI VITANDA 35 SHULE YA ISALAVANU

Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mjini Cosato Chumi (kushoto) kwa kushirikiana na wadau wake amekabidhi vitanda 35 ‘double decked’ vyenye thamani ya shilingi milioni sita na nusu (6.5m/-) kwa wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Isalavanu wilayani Mufindi, mkoani Iringa jana. Shule hiyo ilikuwa vitanda vitano tu na kupelekea wanafunzi hao kutandika magodoro chini. 

MAGAZETI LEO JUMANNE JUNI 6