Skip to main content

Posts

Showing posts from November 9, 2014

MAGAZETI LEO JUMATATU

Scott: One week in power and turning tables

Acting Zambian president Guy Scott. PHOTO BY AFP  IN SUMMARY Protests. Guy Scott gave his defence minister and powerful secretary general of the PF party Edgar Lungu marching orders on Monday and in a matter of hours, riots broke out in the capital Lusaka, including the University of Zambia and a government building designated for Sata’s mourners to gather Kenyan president Uhuru Kenyatta recently left tongues wagging when he walked to parliament and surprised legislators. Opposition MPs had expected him to make a case for him not to travel to The Hague-based International Criminal Court and chose to boycott the august house.

AZIMIO LA ARUSHA LA KUKABILI UJANGILI LAPITA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza kwenye mkutano wa kikanda unaozungumzia ujangili na hifadhi endelevu ulioshirikisha mataifa ya Afrika, wajumbe wa Bunge la Marekani (Congress) Mashirika ya Umoja wa Mataifa, mataifa washirika wa maendeleo, wanazuoni na wawakilishi wa taasisi zisizo za serikali uliomalizika jana jijini Arusha na kufungwa rasmi na Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda. Kushoto Mwenyekiti wa mkutano wa kikanda wa kudhibiti ujangili na hifadhi endelevu ya wanyamapori ambaye pia ni Makamu mwenyekiti wa ICCF Group, Dr. Kaush Arha na kulia ni Waziri mdogo wa Marekani anayeshughulikia Uchumi, Nishati na Mazingira, Bi. Catherine Novelli.

MAGAZETI LEO JUMAPILI

Wakulima wa miti waaswa kutokuvuna miti kabla ya kukomaa

Mwakilishi wa Balozi wa Finland nchini Tanzania, Mikko Leppanen na Naibu wa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mahmoud Mgimwa (MB) wakizindua rasmi kwa pamoja programu ya panda miti kiabiashara mjini Njombe. (Picha na Friday Simbaya) Na Friday Simbaya, NJOMBE Mwakilishi wa Balozi wa Finland nchini Tanzania, Mikko Leppanen aliwatoa wasiwasi wananchi wanaoishi karibu na maeneo ya kupanda miti katika nyanda za juu kusini kutoogopa kuhusu kupoteza ardhi yao ya kilimo kwa kupanda miti.