Skip to main content

Posts

Showing posts from July 15, 2010

MAMBO YA NDOA HAYOOOOOOO

Na Friday Simbaya MSEMAJI Mkuu wa shirika  la TECONAREMAP Bw, Ochieng Anudo amesema kuwa Idara ya uchunguzi na upelelezi ya shirika hilo imefanikiwa kugundwa udanganyifu ya cheti feki cha ndoa ambacho Bi, Mwanaidi Musa alitumia kudai kuwa alifunga ndoa na Bw, Hussein Dodo. Mali anazodaiwa kulipwa Bi, Mwanaidi kwa kutmia cheti feki hicho cha ndoa akidai ametelekezwa ni mashamba hekari 4, ng'ombe 30, mbuzi saba, kuku 20, bata 30 meza moja, mapipa ya ujazo manne pamoja na vyombo vingine vya ndani na kumwacha Bw, Hussein Dodo akiwa masikini. Akizungumza na waandishi wa habari jana ofisini kwake mjini Iringa Bw, Ochieng alisema ofisi yake ilipokea malalamiko ya kuhujumiwa kwa haki za mazingira mtu kutoka kwa Bw, Hussein Dodo ambaye ni mkazi wa wilaya ya Babati akidai kuwa Bi, Mwanaidi Musa hakuwa mke wake na kuwa cheti cha ndoa alichotumia hakikuwa halali. Alisema kuwa baada ya taarifa hizo idara yake ya uchunguzi na upelelezi wa shirika hili ilifanya uchunguzi wa ...

COMMUNITY BANK

From left to right is Iringa District Executive Director (DED)Tina Sekambo, Iringa Muncipal Director (MD), Teresia Mahondo, Iringa Urban member of Parliament, Monica Mbega and Iringa District Commissioner, Aseri Msangi during the stakeholder meeting.   By Correspondent Friday Simbaya, Iringa  IRINGA Municipal Council is intending to start a community bank that will help people who cannot access loans from commercial banks and other financial institutions due to higher rates of interests.  But with the coming of the community bank in the area people will get microfinance at the lowest interest rate, and the bank will begin with at least 1.8bn/- as starting capital, it has been disclosed. This was disclosed yesterday during the stakeholders meeting held here in Iringa which attracted members from all walks of life. The meeting attracted stakeholders both from Iringa Municipal and Iringa District councils including the incumbent Member of Parliament for Iringa Municip...