Skip to main content

Posts

Showing posts from February 7, 2017

WAZIRI WA FEDHA AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA KUJADILI MATUMIZI YA TAKWIMU ZA UMASKINI

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango akihutubia wakati akifungua mkutano wa kimataifa wa kujadili matumizi ya takwimu za umaskini na namna bora ya kupima hali ya umaskini Afrika jijini Dar es Salaam leo. Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk.Albina Chuwa akitoa hutuba yake. Balozi wa Umoja wa Ulaya Kanda ya Afrika Mashariki, Roland Van De Geer, akitsoma hutuba yake. Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Bella Bird akizungumza kwenye mkutano huo. Mtafiti kutoka Taasisi ya Repoa, Dk.Blandina Kilama, akizungumza kwenye mkutano huo. Mtakwimu kutoka Menejimenti Ofisi ya Mtakwimu Mkuu Tanzania Zanzibar, Mayasa Mwinyi akizungumza kwenye mkutano huo. Taswira ya meza kuu. Mkutano ukiendelea. Taswira katika mkutano huo.  Na Dotto Mwaibale MATUMIZI ya Takwimu rasmi katika kupanga maendeleo ya wananchi kwa nchi zinazoendelea yamekuwa hayaendi kwa kasi inayotakiwa kimat...

Floods and erosion are ruining Britain’s most significant sites

From Wordsworth’s gardens to the south’s white cliffs and salmon rivers in Wales, climate change is wrecking historic sites, finds report Cottages at Birling Gap were once one of seven properties. The fifth end-of-terrace pebble-dash terrace was demolished in March 2014. Photograph: Mike Hewitt/Getty Images Damian Carrington Climate change is already wrecking some of Britain’s most significant sites, from Wordsworth’s gardens in Cumbria to the white cliffs on England’s south coast, according to a new report. Floods and erosion are damaging historic places, while warmer temperatures are seeing salmon vanishing from famous rivers and birds no longer visiting important wetlands. The report was produced by climate experts at Leeds University and the Climate Coalition , a group of 130 organisations including the RSPB, National Trust, WWF and the Women’s Institute. “Climate change often seems like a distant existential threat [but] this report shows it...

Up to 13,000 secretly hanged in Syrian jail, says Amnesty

Thousands of other opponents of Assad died from torture and starvation at Saydnaya prison, witness reports suggest An aerial view of Saydnaya prison. Photograph: Amnesty Martin Chulov Tuesday 7 February 2017 00.01 GMTLast modified on Tuesday 7 February 2017 01.12 GMT As many as 13,000 opponents of Bashar al-Assad were secretly hanged in one of Syria’s most infamous prisons in the first five years of the country’s civil war as part of an extermination policy ordered by the highest levels of the Syrian government, according to Amnesty International . Many thousands more people held in Saydnaya prison died through torture and starvation, Amnesty said, and the bodies were dumped in two mass graves on the outskirts of Damascus between midnight and dawn most Tuesday mornings for at least five years. The report, Human Slaughterhouse, details allegations of state-sanctioned abuse that are unprecedented in Syria’s civil war, a conflict that has consiste...