Skip to main content

Posts

Showing posts from December 15, 2014

JINSI WALIVYOSHEREHEKEA USHINDI MTAA WA IDUNDA

Wakazi wa Mtaa wa Idunda Kata ya Mtwivilla katika Jimbo la Jringa mjini akisherehekea ushindi wa  chama chao baada ya msimamizi wa uchaguzi kumtangaza mgombea  wa chadema kuwa ndio mwenyekiti wa mtaa huo wakiwa pamoja na mbunge wa jimbo hilo  Mch. Peter Msigwa saa 6 usiku baada Chadema kuambulia  mitaa zaidi ya 50.jimbo la iringa li na jumla ya  mitaa 192.