Skip to main content

Posts

Showing posts from July 17, 2016

SUMAYE AFAGILIWA NA WASOMI,WENGI WAMTABILIA MAKUBWA NDANI YA CHADEMA

Wasomi nchini wamesema iwapo Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye atakuwa mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, atasaidia kukijenga chama hicho cha upinzani nchini, kuanzia ngazi ya chini.  Wakizungumza kwa nyakati tofauti walisema jana kuwa Sumaye ambaye juzi alirejesha fomu ya kuwania nafasi hiyo, katika ofisi za kanda hiyo Dar es Salaam, akitumia uzoefu alionao kiuongozi, atakuwa msaada kwa chama hicho.  Walisema uamuzi huo umeonyesha kuwa hakuhamia Chadema kwa masilahi binafsi. Profesa George Shumbusho wa Chuo Kikuu cha Mzumbe alisema: “Inaonekana (Sumaye) ana lengo la kusaidia upinzani ukue. Kwa mchango na uzoefu wake serikalini ataisaidia sana Chadema maana chama lazima kiwe na nguvu kuanzia ngazi ya chini.” Sumaye ndiye Waziri Mkuu pekee katika historia ya Tanzania kushika wadhifa huo kwa miaka 10 baada ya kuwa msaidizi wa Rais mstaafu, Benjamin Mkapa kati ya mwaka 1995 hadi 2005.  Agosti mwaka jana, Sumaye aliyekuwa kete muhimu...

Rais Magufuli amteua Augustino Mrema kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole

Augustino Lyatonga Mrema  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa mamlaka aliyopewa amefanya uteuzi wa viongozi na watendaji wa taasisi mbalimbali za Serikali, na pia amewapandisha vyeo maafisa wa Jeshi la Polisi Tanzania. Uteuzi huo ni kama ifuatavyo; Augustino Lyatonga Mrema Ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole kwa kipindi cha miaka mitatu, kuanzia leo tarehe 16 Julai, 2016. Augustino Lyatonga Mrema anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Jaji Mstaafu Mhe. Eusebia Nicholaus Munuo ambaye muda wake umemalizika. William R. Mahalu Ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete. Uteuzi huu umeanza leo tarehe 16 Julai, 2016. Mohamed Janabi Ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete. Uteuzi huu umeanza tarehe 15 Julai, 2016. Angelo Mtitu Mapunda Ameteuliwa kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama kwa kipindi cha miaka mi...

DECOLONIZED ACADEMY Is global academic collaboration a new form of colonization?

Higher education in Africa is as old as the pyramids in Egypt . But the continent’s ancient institutions have long disappeared. The type of higher education that’s delivered in Africa today, from curriculum to degree structure and the languages of instruction, is rooted in colonialism. This has led many to question whether African universities are still suffering from a sort of colonization – of the mind . The story of renowned climate change researcher Cheikh Mbow is an example. Mbow was born in Senegal in 1969 and studied there. Looking back at his experiences during his first years of university, Mbow observes: “I knew all about the geography and biology of France but nothing about that of Senegal.” There’s little doubt Africa’s universities need to be locally relevant—focusing teaching and research on local needs. Mbow also happens to be my friend, and together with one of his colleagues we wrote a  book chapter about the production of scientific knowledge in A...

GETTING SCHOOLED: Only ten of the world’s top 1,000 universities are in Africa, according to one list

Michelle Obama at University of Cape Town. (Reuters/Charles Dharapak) WRITTEN BY Yomi Kazeem July 14, 2016 Quartz Africa The dearth of top quality tertiary institutions in Africa has been laid bare in a new report which cited only ten schools on the continent in its ranking of the best 1,000 universities in the world. The annual ranking is compiled by the Center for World University Rankings (CWUR), a Saudi Arabia-based education consulting organization. CWUR bases its ranking on a range of indicators , with quality of education, quality of faculty and alumni employment making up 75% of its criteria. CWUR also takes into the account factors such as patent filings, publications and citations. Based on this criteria, only 10 universities in Africa, spread across South Africa, Uganda and Egypt, made it into the 2016 rankings . Five universities in South Africa were named, including the University of the Witwatersrand in Johannesburg, which was the continen...