Skip to main content

Posts

Showing posts from May 18, 2015

HIGH LEVEL AGRIBUSINESS LEADERSHIP MEETING FOR AGRICULTURAL TRANSFORMATION

The Njombe RC Rehema Nchimbi addressing the meeting. The participants of the high level agribusiness leadership meeting Ihemi Cluster pose for group photo after the guest of honour Njombe Regional Commissioner Rehema Nchimbi officially opened held in Iringa. The Senior Legal Officer, Ernesto Doriye from the Ministry of Agriculture addresses the meeting. The Vice Chair for Uongozi Institute  Philemon Luhanjo making a speech. IRINGA: The agribusiness leadership meeting for agricultural transformation in Ihemi Cluster held in Iringa has started today and will last for two day. This is multi-stakeholders event aimed at promoting the role that public and private sector leadership play in facilitating agricultural transformation in the Ihemi Cluster.

Stendi kuu mjini Iringa waanzisha timu ya mpira wa miguu ya KIBIKI FC

Kibiki azizungumza na kijana, fundi viatu wa mjini Iringa! Na mwandishi wetu, Iringa VIJANA wa  stendi kuu ya mabasi ya mjini Iringa, wameanzisha timu ya mpira wa miguu ya ‘Kibiki  Football Club’ili kuunga mkono harakati za mwanahabari wa gazeti la Uhuru na  mzalendo, baada ya kutangaza nia kuwania jimbo hilo.

TAKWIMU ZAKWAMISHA UPATIKANAJI WA MAENDELEO

Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Zanzibar, Bi Amina Shabani akifungua semina ya siku moja ya kujadili mpango utekelezaji wa Maendeleo ya Malengo ya Millenia MDG’s, iliyofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar na kuwashirikisha Maofisa Mipango wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Viongozi wa Taasisi zisizo za Kiserekali, ulioandaliwa na Tume ya Mipango Zanzibar na Wizara ya Mambo ya Nje Tanzania na kufadhiliwa na UNDP . Na Mwandishi wetu, Zanzibar UKOSEFU wa takwimu sahihi katika masuala mbalimbali umeelezwa kuchangia kutopiga hatua kwenye mipango ya kimaendeleo inayopangwa na serikali juu ya wananchi. Aidha upotoshaji wa takwimu hizo unaofanywa na baadhi ya watendaji kwa kutaka kujinufaisha wao wenyewe pia umekuwa ukichangia kuchelewa hatua za kimaendeleo.

MO AKUTANA NA RAIS FILIPE NYUSI WA MOZAMBIQUE JIJINI DAR

CEO wa Makampuni ya MeTL Group na Mbunge wa Jimbo la Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji (kulia) katika picha ya pamoja na Rais wa Mozambique, Mh. Filipe Nyusi walipokutana jijini Dar es Salaam. Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama Rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu nchini Tanzania.