Skip to main content

Posts

Showing posts from June 22, 2015

KATIBU WA KATA MSEKE CHADEMA AJITOSA KUGOMBEA UDIWANI KATA YA MSEKE

Katibu Kata ya Mseke wa Chadema, Zolango Menisy Mbwelwa (kushoto) akipongezwa na Mwenyekiti wa Tawi, Haji Omary Kaguke muda mfupi ya kuchukuwa fomu ya kuomba kugombea nafasi ya udiwani ndani ya chama leo katika ofisi ya Mseke Kijiji cha Ugwachanya tarafa ya Mlolo, Jimbo la Kalenga wilayani Iringa. Katibu Kata ya Mseke wa Chadema, Zolango Menisy Mbwelwa (kushoto) akipongezwa na Mwenyekiti Wanawake Tawi la Ugwachanya, Elizebeth Marry baada ya katibu huyo kuchukuwa fomu ya kuomba kugombea nafasi ya udiwani ndani ya chama leo katika ofisi ya Mseke Kijiji cha Ugwachanya tarafa ya Mlolo, Jimbo la Kalenga wilayani Iringa. Katibu Kata ya Mseke wa Chadema, Zolango Menisy Mbwelwa (kushoto) akipeana mikono na Mwenyekiti wa Kata ya Mseke, Imani Lucas Ngimbe muda mfupi baada ya kumkabidhi  fomu ya kuomba kugombea nafasi ya udiwani ndani katibu huyo leo katika ofisi ya Kata ya Mseke katika Kijiji cha Ugwachanya tarafa ya Mlolo, Jimbo la Kalenga wilayani Iringa. Katibu Kata y...

Dr Augustine Mahiga: I will fight corruption in the country

Tanzania’s former  Permanent Representative  to the United Nations (UN), Dr Augustine Mahiga, who recently declared his interest to contest for the country’s top post through the ruling CCM, saying among the  things he expects to do when he become the president is to fight corruption in the country. Dr Mahiga, a long time high profile Tanzanian said that country needs to go forward and fight corruption which said it’s the major problem that hindering economic development.

Mwanasheria wa Chadema Lucas Sinkala Mwenda ajitosa ubunge Jimbo la Kalenga

Mwenyekiti wa BAWACHA Wilaya ya Iringa, Anjelika Kihakwi akibadilishana mawazo na kada mmoja wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Kijiji cha Ihomasa Kata ya Wasa, Wilaya ya Iringa, mkoani Iringa. Chadema walifanya mkutano wa hadhara jana katika kijiji hicho kwa lengo la kukagua uhai wa chama pamoja na kuwatambulisha watia nia waliotangaza kugombea kubunge Jimbo la Kalenga . Kada wa  CHADEMA na  M wanasheria wa chama hicho,  Lucas Sinkala Mwenda (kulia) ambaye ametangaza nia kugombea ubunge Jimbo la Kalenga kupitia chama hicho amechukua fomu kwa Katibu wa CHADEMA Jimbo la Kalenga, Issa Nyamahanga jana katika Kijiji cha Ihomasa kata ya wasa Wilaya ya Iringa, mkoani Iringa.    Mkazi wa Kijiji cha Ihomasa Kata ya Wasa, Mzee Gaudencia Chogavanu Kikoti akiuliza swali kuhusu michango ya ujenzi wa maabara inayoendela kuwa ni mkubwa kulingana na hali zao za maisha kuwa duni, ambapo kila nyumba ina lazimika kutoa shilingi 30,000/-  waktika wa mkutano...

MAONESHO YA UTALII YA SANGANAI/HLANGANANI–ZIMBABWE YAFUMBUA MACHO WATANZANIA

Pichani juu na chini ni Afisa Habari Mwandamizi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Esther Solomon (kushoto) akitoa maelezo ya shughuli mbalimbali za utalii na vivutio vyake nchini Tanzania kwa baadhi ya wanafunzi wa vyuo mbalimbali vikiwemo vya utalii nchini Zimbabwe waliofika katika banda la Tanzania kwenye maonyesho ya nane ya Kimataifa ya Utalii Sanganai/Hlanganani–(World Tourism Expo) kupata taarifa mbalimbali za vivutio vya utalii wa Tanzania yaliyomalizika jana jijini Harare katika ukumbi wa hoteli ya Rainbow Towers.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog) Afisa Habari Mwandamizi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Esther Solomon (kulia) akibadilishana mawazo na wananfunzi wa Belvedere Technical Teachers College nchini Zimbabwe, Francisca Chipuriro (kushoto) na Natalie Takavarasha (katikati) wakati walipotembelea banda la Tanzania kwa ajili ya kupata taarifa mbalimbali za utalii wa Tanzania na vivutio vyake siku ya ufunguzi rasmi wa maonyesho hayo yali...

FASTJET SEEKS ZIMBABWE DOMESTIC ROUTES

Head of Marketing, Fastjet, UK, Ms. Jai Gilbert, speaking to the Tanzanian Journalists who have been sponsored by Fastjet Airline to attend the 8th edition of the Sanganai/Hlanganani–World Tourism Expo which was held in Harare at the Rainbow Towers Hotel. Standing at the centre is Mpilo Nyathi a representative from Fastjet branch in Harare, Zimbabwe.(All photos by Zainul Mzige of modewjiblog). Head of Marketing Fastjet, UK, Ms. Jai Gilbert, during the interview Journalists. By Modewjiblog team A low cost airline operating in Tanzania, Fastjet, is trying to get a license to operate Zimbabwe domestic routes. Speaking with Tanzania journalist here in Harare, Zimbabwe, Head of Marketing Fastjet, UK, Ms. Jai Gilbert said discussions are in advanced stage and in four months they expect to be given a license. She said they are looking to operate Victoria Falls, Johannesburg, Harare and Bulawayo routes. Fastjet which started business in Tanzania 2012 is now ...