Wajumbe wa PLUP na VLUMC wakichukua jira za ardhi kwa kutumia GPS Picha ya pamoja ya wajumbe wa kamati ya ardhi (VLUMC), halmashauri ya kijiji cha Mbweleli (VC) na timu ya PLUP. Mwakilishi kutoka shirika la WWF Ebrania Mlimbila akitoa neno la shukrani kwa wajumbe kamati ya ardhi (VLUMC) na wale wa halmashauri ya cha Mbweleli, kata ya Migoli, tarafa ya Ismani baada kumalizika kwa mafunzo ya matumizi bora ya ardhi. Kushoto ni mwezeshahaji (PLUP) Godfry Mwanga ambaye pia ni rasimu ramani (Cartographer) kutoka Halmamshauri ya Wilaya ya Iringa, mkoani Iringa. Washiriki wa Mafunzo ya Matumizi bora ya ardhi ya kijiji (VLUP) ambao wanaunda kamati ya usimamizi wa ardhi (VLUMC) na halmashauri ya kijiji cha Mbweleli kata ya Migoli , tarafa ya Ismani wilayani Iringa, mkoani Iringa wakichangamsha Miili yao wakati wa mafunzo hayo ya kuwajengea uwezo. Mafunzo hayo ya mpango wa matumizi bora ya ardhi ya kijiji wa miaka kumi (2016-2026) yamefadhiliwa na shirika la WWF ku...
Pamlomo-Sauti Ya Jamii (SYJ) is essentially a digital news platform that shares different types of news updates — social, political, economic, sports, entertainment, and community stories. From the context you’ve given, it is based in Iringa, Tanzania, and functions mainly as an online outlet (likely through social media such as Facebook, YouTube, or other channels) where audiences can get real-time updates.