Skip to main content

WANAUME ZAIDI LAKI MOJA NA TISINI KUTAHIRIWA MKOANI IRINGA


Mkoa wa Iringa una lengo la kutahiri wanaume 191,999 mwaka huu  na hadi kufikia Septemba mwaka jana jumla ya wanaume 147,620 sawa na asilimia 76.9 wenye umri kati ya miaka 15 hadi 49 wametahiriwa.


akiwasilisha taarifa ya utakelezaji wa shughuli za mapambano dhidi ya ukimwi na dawa za kulevya jana watika kikao cha kamati ya ushauri mkoa wa Iringa (rcc),  mtaalamu wa magojwa ya ngono mkoani Iringa Dkt. Paul Luvanda alisema kuwa kiwango cha tohara mkoani iringa kimeongezeka.

Dkt. Luvanda alisema kuwa katika utafiti uliofanyika mwaka 2011/2012 unaonyesha kuwa kiwango cha tohara kimeongezeka  kutoka asilimia 37.7 mwaka 2007/2008 hadi asilimia 60 mwaka 2011/2012.

Aidha, alisema huduma ya tohara kwa wanaume katika mkoa zinatolewa katika vituo kumi na mbili (12) ikiwemo hospitali ya rufaa ya mkoa, kituo cha afya ngome (manispaa ya iringa), hospitali teule ya tosamaganga (halmashauri ya iringa), hospitali teule ya ilula (halmashauri ya kilolo) na hospitali ya wilaya ya mufindi na pia kwa njia ya kampeni.

Mkoa una mradi maalum wa tohara ya watoto wachanga (siku 2 mpaka siku 60). Mradi huu ni katika jihudi za kusaidia magonjwa ya mkojo kwa watoto, magonjwa ya ngozi ya sehemu ya uume, kwa  wasafi kwa urahisi zaidi na maandalizi ya kupunguza VVU atakapoweza kufanya tendo la kujamiana ukubwani.

Alisema kuwa huduma ya tohara kwa watoto hao wachanga wanaume zinatolewa katika vituo vifuatavyo; hospitali ya rufaa ya mkoa, kituo cha afya ngome na zahanati igumbilo (manispaa ya iringa), hospitali teule ya tosamaganga, hospitali teule ya ilula na kituo cha afya kidabaga (kilolo) na hospitali ya wilaya ya mufindi, pia kwa njia ya kampeni.

Mradi huu umeanza mwezi wa julai, 2013 hadi kufika mwezi septemba mwaka 2014 jumla ya waoto wachanga 2,200 wametahiriwa.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...