Skip to main content

Mwenge wa Uhuru kuzinduwa miradi 35 yenye thamani ya shillingi .4, 985,562,793/= mkoani Iringa


MWENGE wa Uhuru utawasili Mkoani Iringa tarehe 22 Juni, 2015 na kukimbizwa hadi tarehe 26 Juni, 2015 na kuweka mawe ya msingi, utakagua, utazindua na kufungua jumla ya miradi ya maendeleo 35 yote ikiwa na thamani ya shillingi 4, 985,562,793/= .

Mkuu wa Mkoa alisema jana kuwa Mwenge wa Uhuru utapokelewa kutoka Mkoa wa Morogoro tarehe 22 Juni, 2015. Makabidhiano yatafanyika katika kijiji cha Ruaha Mbuyuni.

Akiongelea ratiba ya Mbio za Mwenge wa Uhuru katika Mkoa wa Iringa, Mkuu wa Mkoa alisema kuwa katika Mkoa wa Iringa Mbio za Mwenge wa Uhuru zitaanza Wilaya ya Kilolo tarehe 22 Juni 2015, Halmashauri ya Wilaya ya Iringa tarehe 23 Juni, 2015, Manispaa ya Iringa tarehe 24 Juni 2015 na Halmsahauri ya Wilaya ya Mufindi tarehe 25 June, 2015 ambapo Mwenge wa Uhuru utakuwa umekamilisha Mbio zake katika Mkoa wa Iringa.

Mkoa wa Iringa utaukabidhi Mwenge wa Uhuru Mkoa wa Njombe tarehe 26 June, 2015 katika eneo la Makambako kijiji cha Idofi.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa amezitaja shughuli ambazo zitafanywa na Mwenge wa Uhuru katika Mkoa wa Iringa kuwa ni kuweka mawe ya msingi, utakagua, utazindua na kufungua jumla ya miradi ya maendeleo 35 yote ikiwa na thamani ya shillingi.4,985,562,793/= ambapo kati ya fedha hizo Serikali kuu imechangia shilingi 2,193,787,197/= Halmashauri za Wilaya na Manispaa shilingi.1,191,486,781/= michango ya wananchi shilingi1,158,299,859/= na wadau wa maendeleo shilingi 441,988,956/=.

“Ujumbe wa Mwenge wa Uhuru 2015, Tumia Haki yako ya Kidemokrasia; chini ya kauli mbiu; jiandikishe na kupiga kura katika uchaguzi wa mwaka 2015”

Mwenge wa Uhuru kila mwaka hubeba ujumbe wa kudumu ambao ni:- ‘Mapambano dhidi ya Rushwa ; kata mnyororo wa rushwa chini ya kauli mbiu’’ chagua kiongozi mzalendo’’,

‘Mapambao dhidi ya dawa za kulevya; uteja wa dawa za kulevya unazuilika na kutibika chini ya kauli mbiu ’’chukua hatua’’

Mapambao dhidi ya UKIMWI; Vijana wa leo na UKIMWI chini ya kauli Mbiu ’’wazazi tuwajibike’’

Mapambano dhidi ya Maralia; Wekeza katika maisha ya baadae; chini ya kauli mbiu ’’tokomeza malaria’’

Masenza ametoa wito kwa wananchi katika Halmashauri zote za Mkoa wa Iringa kujitokeza kwa wingi kuulaki Mwenge wa Uhuru katika maeneo yote ambako utapita, kushiriki katika mikesha ya Mwenge pamoja na kupokea ujumbe wa Mwenge wa Uhuru wa mwaka huu 2015.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...