Skip to main content

Mke wa Lowassa awapa mbinu za kupiga kura Babati

ticle class="main column">


Thursday, October 1, 2015
Mke wa mgombea urais wa Chadema, Regina Lowassa akizungumza na wanawake katika moja ya mikutano yao. Picha na Maktaba 


Amewataka kutobabaika siku ya uchaguzi kwa kuwa kipindi cha mabadiliko kimefika

By Joseph Lyimo, Mwananchi


Babati. Mke wa mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, Regina amewaomba Watanzania kuwa makini siku ya kupiga kura, kutunza kadi zao.


Pia, Regina amewaomba wapigakura wasichore wala kuandika chochote kwa mgombea mwingine siku ya kupiga kura ili kuepuka kuharibu kura zao na kumpunguzia idadi ya kura mumewe.


Alitoa ombi hilo juzi, wakati akizungumza na wakazi wa mjini Babati, baada ya kumaliza kuzungumza katika mkutano wa ndani na wanawake.


Alisema ili wasiharibu kura zao baada ya kuwasili asubuhi kwenye kituo cha kupiga kura, wanatakiwa kuweka alama ya vema kwenye eneo la mgombea udiwani, ubunge na urais wa Chadema.


Alisemawananchi wamehamasika na mabadiliko ndiyo maana wana uhakika wa kwenda Ikulu kwa kuwa wanaungwa mkono na makundi ya watu nchini.


Akizungumza katika mkutano huo, mgombea ubunge wa chama hicho katika Jimbo la Babati mjini, Pauline Gekul aliwaomba wapigakura wampigie kura za ndiyo ifikapo Oktoba 25, mwaka huu kwa kuwa aliwatetea alipokuwa mbunge wa viti maalumu. 


























Habari 











2
hours ago
NEC: Kalamu yoyote inaruhusiwa kupigia kura













Ili kuondoa shaka miongoni mwa wananchi kutokana na tetesi zinazosambazwa juu ya ubora wa kalamu

2
hours ago
Polisi yathibitisha mgombea ubunge wa ACT kutekwa













Jeshi la Polisi mkoani Simiyu limethibitisha kutekwa kwa mgombea ubunge Jimbo la Bariadi, kupitia










Kitaifa 
Mashahidi 50 kutoa ushahidi mauaji ya bilionea Msuya 5
hours ago



Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...