Skip to main content

SBL YAZINDUA BIA MPYA IITWAYO SERENGETI PREMIUM LITE




Mkurugenzi wa Maendeleo ya Sanaa kutoka wizara yake, Leah Kihimbi (kulia) ambaye alimwakilisha Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Sanaa, Dk Harrison Mwakyembe aliyekuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa bia mpya aina ya Lite akitosti glasi na Mkurugenzi wa Fedha na Bodi ya SBL, Kalpesh Mehta (kushoto) na mjumbe wa bodi ya SBL, Chris Gachuma wakati wa hafla ya uzinduzi wa bia hiyo iliyofanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam jana.



Mkurugenzi wa Masoko wa SBL, Ceaser Mloka,akizungumza katika uzinduzi huo.



Crew nzima ya Kampuni ya PR ya Concept ikiwa katika uzinduzi huo.



Maofisa kutoka SBL wakijadiliana jambo.



Wakati wa utambulisho. Kushoto ni mbunifu wa bia hiyo.



Wasanii wakitoa burudani katika uzinduzi huo.





Mjumbe wa Bodi Chris Gachuma akizungumza katika uzinduzi huo.



Wadau wakiwa kwenye uzinduz huo.



Ni furaha tupu katika uzinduzi huo. Kulia ni Meneja Masoko wa SBL, Anitha Rwehumbiza.



Muonekano ya bia hiyo katika chupa.



Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni ya bia ya Serengeti John Wanyancha (wa pili kushoto), akitosti glasi na wanahabari katika uzinduzi huo.





Na Dotto Mwaibale


KAMPUNI ya Bia ya Serengeti Breweries Limited (SBL), mojawapo ya kampuni kubwa zinazozalisha bia hapa nchini, imezindua bia mpya aina ya Lite, ikiwa ni muendelezo wa bia mama ya Serengeti Premium Lager iliyoko sokoni kwa miaka 20 iliyopita. 


“Bia ya Serengeti Premium Lite inazalishwa kwa namna ya kipekee kwa kutumia utaalamu wakisasa. 


Ina ladha kamili inayoburudisha zaidi ya bia za aina ya lite ambazo kwa sasa huuzwa rejareja sokoni”, alisema Mkurugenzi wa Fedha na Bodi ya SBL, Kalpesh Mehta, wakati wa hafla ya uzinduzi iliyofanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.


Kwa mujibu wa Mkurugenzi huyo, bia hiyo inauzwa kwa Sh.1,500 kwa chupa na kwamba inatarajiwa kuteka soko na jumuia ya wanywaji wake ambaokwakipindikirefuwamekuwawakitafuta biahalisiyakitanzania.


“Pamoja na kuwa na furaha kubwa usiku huu ambapo tunashuhudia uzinduzi wa bia ya Serengeti Premium Lite, nisemekuwani bia halisi ya kitanzania yenye kiburudisho na ladha nyepesi. 


Huu ni mwitikio wa wateja wetu ambao wamekuwa wakiitafuta bia ya aina hii kwa mudamrefu.


Tunaami ni kuwa bia hii ya Serengeti Premium Lite, ambayo imebuniwa na kutengenezwa na wazalishajibia (bremasters) wakitanzania kwa watanzania, itawaleta wateja wetu pamoja zaidi kadri watakapokuwa wakifurahia urithi wetu waaina hii ya bia ”, alisema Mehta.


Aliongeza kuwa, “Bia ya Serengeti Premium Lite inaubora uleule wa kimataifa sawa na biamama ya Serengeti Premium Lager ambayoimepokea zaidi ya medali 10 za ubora wakitaifa na kimataifa.”


Mgeni rasmi katika uzinduzi huo, Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Sanaa, Dk Harrison Mwakyembe, aliisifia kampuniya SBL kwa kuwa inaongoza kwa ubunifu katika sekta ya uzalishaji wapombe nchini, na vilevile akaahidi kuwa serikali itaendelea kutoa msaada kwa sekta ya biashara hapa nchini.


Dk.Mwakyembe ambaye aliwakilishwa na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Sanaa kutoka wizara yake, Leah Kihimbi, alisema SBL imekuwa ikishiriki kikamilifu katika maendeleo ya uchumi wa Tanzania akitaja mafanikio mbalimbali za program zake za kuisaidijamii.


“Programu za jamii zinazoendeshwa na SBL katika sekta ya elimu, kilimo na ujasiriamali zimewezesha vijiji vingi hapa nchini kupata maji safi, watoto kupata elimu ya juu na mamia ya wakulima kupata masoko kwa ajili ya kuuza mazao yao ambapo SBL hununua mazao yao kama malighafi inayotumika kuzalishiabia”, alisema Makamba.


Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...