Skip to main content

HALMASHAURI ZA AGIZWA KUWEKA KAZI ZA TFDA KWENYE MIPANGO KAZI NA BAJETI ZAO





Mkuu wa Wilaya ya Mufindi (DC) Jamhuri David William ameziagiza halmashauri zote wilayani hapa kuingiza kazi zilizokasimiwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) katika mipango kazi na bajeti.


Alisama kuwa kuna halmashauri hazijaingiza kabisa au zimeingiza kiasa kidogo cha kazi zilizokasimiwa na TFDA katika mipango ya kazi na bajeti.


William alisema hayo jana wakati wa akifunguzua mafunzo ya wakaguzi wa halmashauri na kamati za chakula na dawa kuhusu uimarishaji wa utekelezaji wa majukumu ya TFDA yaliyokasimiwa kwa halmashauri.


Jumla ya wakaguzi 35 na wajumbe 15 wa kamati za chakula na dawa katika halmashauri ya mji wa Mafinga na halmashauri ya Mufindi walipata mafunzo hayo.


Alisema kwamba kutoinzingiza masula ya TFDA katika mipango ya kazi na bajeti kuna kunakwamisha juhudi za serikali katika kudhibiti ubora, usalama na ufanisi wa bidhaa za chakula, dawa, vifaa tiba na vipodozi.


DC William aliziagiza pia halamashauri kutumia fursa ya kanuni mpya ya kukasimu madaraka ya mwaka 2015, ambayo TFDA imeziachia halmshauri zikusanye na zitumie asilimia 100 za makusanyo kwa majengo yale tu yaliyokasimiwa kwa wakurugezi, isipokuwa kwa biashara zile zinazotolewa vibali moja kwa moja na TFDA.


Alisema halamshauri nyingi zimekuwa zililalamikia kwamba bajeti ni ndogo wakati zimeshindwa kukusanya fedha na kusahau kuwa hicho ni moja ya vyanzo vya mapato ya halmashauri.


aliongeza kuwa TFDA na halmashauri ziendelee kutoaelimu zaidi kwa wananchi ili waweze kutambua kwa urahisi bidhaa zisozofaa na kwa wafanyabiashara ili waweze kutii sheria bila shuruti.


Pamoja na maagizo hayo kwa wakaguzi, katima za chakula na dawa aliwaasa wafanyabiashara kuzingzatia sheria ili kuepuka hasara wanayoweza kupata lakini vilevile wazingatie kuwa wao pia ni sehemu ya jamii.


Awali, mratibu ofisi za kanda na halmashauri TFDA Gloria Omari kuwa mfumo wa kukasimu madaraka kwa halmashauri na mikoa ni moja ya mkakati wa kuongeza wigo wa udhibiti katika nchi zima.


Alisema kuwa kazi ya udhibiti sio rahisi na inahitaji ushirikiano wa karibu kati ya TFDA, mkoa, halmashauri, wananchi kwa ujumla pamoja na waandishi wa habari.


Omari alisema kuwa moja ya malengo ya mafunzo hayo ni kuimarisha utekelezaji wa majukumu na madaraka yaliyokasimiwa kwa halmashauri ili yalete matokeo yaliyokusudiwa.


Aliongeza kuwa lengo nyingine la mafunzo hayo kwa wakaguzi na kamati za chakula na dawa ni kujifunza kanuni mpya na mwongozo wake na mambo mbalimabli yanayohusu udhibiti.


Mamlaka ya chakula na dawa (TFDA)ni wakala wa serikali iliyoanzishwa chini ya kifungu Na. 4(1) cha Sheria Na.1 ya Chakula, Dawa na Vipodozi ya mwaka 2003.


Kwa mujibu wa Sheria hii, TFDA imeanzishwa ili kuimaraisha udhibiti wa usalama, ubora na ufanisi wa chakula, dawa, vipodozi na vifaa tiba


Lengo linguine ni kuhakikisha kwamba bidhaa salama zenye ubora na ufansi unaokubalika ndizo zinazosambazwa na kutumika hapa nchini.






















Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...