Skip to main content

MFUKO WA BIMA YA AFYA WATOA MSAADA KWA WATOTO YATIMA

Na Friday Simbaya,

Kilolo

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Kanda ya Iringa wametoa msaada wa magodoro 15, mashuka 20 na sabuni ya kufulia kwa Kituo cha Watoto ya Yatima cha Amani wilayani Kilolo Mkoa wa Iringa.

Mkurugenzi wa Mfuko Kanda ya Iringa Bi. Grace Lobulu amesema jana kuwa mfuko uliamua kuitumia siku hii sambamba na Wiki ya Bima ya Afya kufanya shuguli za kijamii ikiwemo kutembelea wenye maitaji na kuwafariji.

Amesema kuwa kwa kanda ya Iringa mwaka huu inasheherekea Wiki ya Bima ya Afya kwa kutembelea watoto yatima katika kituo Amani Center (wilayani Kilolo) kinachoendeshwa na Kanisa Katoliki Dayosisi ya Iringa ambacho kina watoto 86.

Mwaka huu wiki ya bima ya afya na ujumbe usemao, “Mtaji wa Mtanzania ni Afya Bora, Jiunge na NHIF/CHF Leo”

Akipokea msaada huo kwa niaba ya Kituo cha Amani kaimu Meneja Bw. Wilfred Mwakalebela, aliushukuru mfuko huo kwa kuwapatia msaada wa pekee watoto huo na kuongeza kuwa ni mara ya kwanza kwa kituo hicho kupata msaada wa magodoro na mashuka tangu kuanshwa kwa kituo hicho.

Lakini pia mfuko utatembelea watoto waliopo katika Kituo cha watoto yatima cha Morogoro Orphanage center wilayani Songea vijijini mkoani Ruvuma amabacho kina watoto 120.

Katika kituo hicho cha Morogoro Orphanage Center, watoto yatima watapelekewa magodoro 20, mashuka 20, mabalanketi 20 na mafuta ya kupikia ndoo 10 (za lita 20).

Hata hivyo kuanzia mwaka 2007 Bodi ya Mfuko iliammua kuwa na wiki ya bima ya afya katika kipindi hicho cha maonyesho ya sabasaba na ambapo siku ya tarehe 30/06/2010 iliteuliwa siku maalum ya bima ya afya katika wiki hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...