Bw. Juma Nyumayo akimwaga sera katika mafunzo ya stadi za uongozi kwa Iringa Press Club (IPC) mjini Iringa leo yalioaandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) mwenye makapeni mkononi.
Baadhi ya washiriki ambao pia ni viongozi na wanachama wa press club ya Iringa wakifuatilia mafunzo kwa makini leo. Mafunzo huyo ni siku mbili (2) kwa masaada wa Media Council of Tanzania.
Baadhi ya washiriki ambao pia ni viongozi na wanachama wa press club ya Iringa wakifuatilia mafunzo kwa makini leo. Mafunzo huyo ni siku mbili (2) kwa masaada wa Media Council of Tanzania.
Comments