Basi la kampuni ya Hood lenye nambari za usajili T249 ARU likiwa limepinduka katika barabara kuu ya Iringa -Mbeya (Tanzam) eneo la Viwengi Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, basi hilo lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mbeya na katika ajali hiyo watu zaidi ya 20 wamejeruhiwa japo hakuna hata mmoja aliyepoteza maisha katika ajali hiyo. Thanks God it has not killed anyone but sorry for injured persons, still we need to control this kind of accidents in future by put up stiff punishment to drivers who wreckless and overspeeding.
Basi la kampuni ya Hood lenye nambari za usajili T249 ARU likiwa limepinduka katika barabara kuu ya Iringa -Mbeya (Tanzam) eneo la Viwengi Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, basi hilo lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mbeya na katika ajali hiyo watu zaidi ya 20 wamejeruhiwa japo hakuna hata mmoja aliyepoteza maisha katika ajali hiyo. Thanks God it has not killed anyone but sorry for injured persons, still we need to control this kind of accidents in future by put up stiff punishment to drivers who wreckless and overspeeding.
Comments