Skip to main content

HONGERA DK SHEIN NA MAALIM SEIF

SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA (SHIVYAWATA), ambalo ni muungano wa vyama tisa vikuu vya kitaifa vya watu wenye ulemavu tofauti nchini vinampongeza Dk. Ali Mohamed Shein pamoja na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Serikali ya Baraza La Mapinduzi Zanzibar 2010 – 2015.

Halikadhalika muungano huo wa vyama vinampongeza Maalim Seif Sharif Hamad pamoja na chama chake Chama cha Wananchi (CUF) kwa kuchaguliwa kuwa mshindi wa pili kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), lakini pia kwa busara aliyoionyesha ya ukomavu wa kisiasa kwa kukubali matokeo na kuepusha vurugu ambazo zingeweza kutokea kama angeamua vinginevyo.

Kukubali kwake matokeo si kwamba kumeepusha vurugu tu, bali pia kumeepusha maafa na ongezeko kubwa la watu wenye ulemavu, lakini pia ifahamike kuwa machafuko yoyote yatokeapo waathirika na wahanga wakuu wanakuwa ni watu wenye ulemavu, akinamama, wazee na watoto, hivyo basi Mwenyekiti –SHIVYAWATA Lupi Maswanya Mwaisaka,kwa niaba ya watu wenye ulemavu nchini hatuna budi kumpongeza kwa busara aliyoitumia.

Alisema SHIVYAWATA kuwa ni matarajio yao kuwa Wazanzibar wataunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa itakayoleta maendeleo kwa wananchi wa Zanzibar kwa kuzingatia makundi yote ya kijamii wakiwemo watu wenye ulemavu, hususan katika kuzingatia mahitaji muhimu katika nyanja za huduma ya elimu, afya, ajira, miundombinu, ushirikishaji katika vikao vya maamuzi n.k.

Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) wanawatakia kila la kheri Serikali mpya ya Baraza la Mapinduzi Zanzibar kufanya kazi kwa uadilifu, ushirikiano na upendo na kuwaletea mabadiliko ya kiuchumi wananchi wa Zanzibar yatakayoleta maendeleo.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...