MGOMBEA wa chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema) Jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa avunja ngome ya CCM Mkoa wa Iringa baada ya kuwabwagwa vibaya wapinzani wake katika matokeo ya ubunge baada ya kujizolea kura 17742 dhidi ya kura 16916 alizopata Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Monica Mbega.
MGOMBEA wa chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema) Jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa avunja ngome ya CCM Mkoa wa Iringa baada ya kuwabwagwa vibaya wapinzani wake katika matokeo ya ubunge baada ya kujizolea kura 17742 dhidi ya kura 16916 alizopata Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Monica Mbega.
Comments