Skip to main content

MWANDISHI AJITOSA KUWANIA USPIKA

Na Friday Simbaya,
Iringa
Mwandishi wa habari wa Shiriki la Utangazaji Tanzania (TBC-Taifa) Bw. Adeladius Makwega Kazimbaya amejitosa kuwania Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuchukua fomu Ijumaa iliyopita na kurudisha Jumamosi.


Aliwahi kuaandikia magazeti ya THISDAY na KULIKONI ya Media Solution ya Dar es Salaam akiripoti kutoka Mkoa wa Iringa kwa Mwaka mitatu wakati yuko chuoni hapa mkoani kabla ya kupata kazi TBC.






Bw.Makwagaambayekwasasa nimtayarishaji vipindimwandamizi wa shirika la utangazaji tanzania.kwa sasa ni mtangazaji wa TBC-Taifa alizaliwa tarehe 19 September,1974 Mlali , Mpwapwa ,Dodoma. Alipata elimu ya msingi katika shule ya Msingi Mtoni Kijichi na sekondari 1-3 Tambaza Sekondari, kidato cha 3-4 Same Sekondari kidato cha 5-6 Ndanda Sekondari.


Pia alipata Diploma ya Ualimu- Chuo cha Ualimu Kasulu, Kigoma, Shahada ya kwanza ya habari Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa na ni mwanafunzi wa shahada ya udhamili ya uongozi wa biashara (MBA) Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa.


Uzoefu wa Uongozi


1996-1998,-Mwenyekiti Afya na Usafi Ndanda Sekondari
2002-2003- Rais serikali ya wanafunzi Chuo cha Ualaimu Kasulu
2005-2006- Mwakilishi wa wanafunzi wanaosoma shahaba ya habari kwenye bunge la wanachuo Tumaini -Iringa
2006-2008-Makamu rais wa serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa.
2005-2008- Katibu wa siasa na unenezi wa Tawi la CCM chuo kikuu cha Tumaini Iringa.
2009-2010- Mwenyekiti wa CCM Tawi la Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa.


2010 -Miongoni mwa wagombea Ubunge Jimbo la Kigamboni Dar es salaam.

Comments

Popular posts from this blog

Four Armed Robbery Suspects Killed In Shootout With Police In Songwe

  “This is Vwawa Bus Stand, where the incident occurred in which armed robbers shot and killed a security guard before fleeing with various items.” Songwe. Four suspected armed robbers have been shot dead following a confrontation with police in Songwe Region after allegedly being involved in a violent raid on a mobile phone and financial services shop in Vwawa town, Mbozi District, in which a security guard was killed. According to a statement issued today, December 30, 2025, by the Songwe Regional Police Commander, Senior Assistant Commissioner of Police (SACP) Augustino Senga, the incident occurred at around 3:30 a.m. The suspects reportedly stormed the shop, owned by businessman Gabriel Msemwa, at the Vwawa main bus stand, killed the guard, William Mwampashi (45), and fled with assorted items. The deceased suspects have been identified as Bruce Mwasenga, Eliuta Mapunda, Abdul Chiba, and Justine, known by a single name. SACP Senga said police immediately launched intensive, inte...

JAB Yawasogeza Huduma Waandishi Iringa, Yaomba Ushirikiano Kudhibiti Waandishi Wasioidhinishwa

Iringa. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeendelea na jitihada za kusogeza huduma zake kwa waandishi wa habari nchini, safari hii ikifika katika Klabu ya Waandishi wa Habari Iringa (Iringa Press Club – IPC), ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha tasnia ya habari na kulinda taaluma ya uandishi wa habari. Akizungumza wakati wa kikao na waandishi wa habari mkoani Iringa, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amesema lengo la ziara hiyo ni kutoa elimu kuhusu majukumu ya bodi, mchakato wa ithibati pamoja na kusikiliza changamoto zinazowakabili waandishi wa habari ngazi ya mikoa. Wakili Kipangula amesema bado kuna changamoto ya uwepo wa watu wanaojihusisha na shughuli za uandishi wa habari bila kuwa na ithibati halali, hali inayochafua tasnia na kuhatarisha maadili ya kazi hiyo nyeti. “Tunawaomba waandishi wa habari kushirikiana na Bodi kwa kuwafichua watu wanaojitambulisha kama waandishi bila kuwa na ithiba...

MUCE IMPLEMENTS SH18.6 BILLION PROJECT IN HONOUR OF FATHER OF THE NATION’S VISION

Iringa. As Tanzania marks 26 years since the passing of the Father of the Nation, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere — a passionate advocate for education — Mkwawa University College of Education (MUCE), a constituent college of the University of Dar es Salaam (UDSM), continues to successfully implement the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project worth over Sh18.6 billion. Speaking to journalists in Iringa, MUCE Principal Prof Method Samwel Semiono said the project, implemented by the government through the Ministry of Education, Science and Technology, aims to reform the higher education system so it can directly contribute to the country’s economic transformation. “The five-year project (2021/2022–2025/2026) is funded by the World Bank and focuses on curriculum improvement, infrastructure development, human resource capacity building, inclusive education and gender equality, as well as promoting the use of ICT and digital learning,” explained Prof Semiono. He no...